Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Zikikamilika hizi deal mbili aisee itakua ni hatari sana() Arsenal are keen to get BOTH Felix and Mudryk this window. (@David_Ornstein)
Kama tukikamalisha hii set ,itakuwajeHii timu vipi, mbona ipo moto sana au walimtoa kafara Malkia?
Huyu dogo alikuwa Kherson nini?KUELEKEA MECHI NA BRIGHTON NIMEFARIJIKA KUMUONA ZINNY MAZOEZINI
Zinny akiwepo tu ,kunakuwa na uhakika 90% hiyo mechi lazima tukamate kiungo ,utake usitake
Kwenye lineup anakuwa Kama LB, but tukiwa na mpira Ni Holding midfielder
Faida zake
Anaongeza namba ya Viungo hivo Ni rahis timu kutoka nyuma kwenda mbele kwa haraka
Zinny Ni press resistant , technical (ufundi) anao mkubwa, passing ability yake Ni kubwa
View attachment 2462530View attachment 2462531
Faida yake tunakaa na mpira muda mwingiTatizo zinny anawahi kusanda hayuko vizuri Sana kwenye defense akipelekewa Moto..ila faida ni yingi kuliko hasara hivyo anafaa
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app