Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,844
- 16,298
Subiri uone Sasa tunambeba kwa Bei chini ya hiyo €100m
Kuanzia wiki ijayo Real Madrid, Psg na Man United wanatuma offer zao Shakhtar Donetsk tuone jinsi mtavyotupiwa usoni hizo £50k.
Niliwaambia mapema kama kweli mnamtaka Mudryk mmalizane mpema kabla ya fainali ya Wc, baada ya kumalizika kwa Wc nyinyi kima hamtakua na uwezo wa kumsajili Mudryk.
Ila Aaron Arsenal huyu Mudryk anaitesa sana nafsi yako, tokea zilivyoanza tetesi za Arsenal kumsajili nafsi yako haina amani kabisa mpaka utakapomuona anatua Emirates