Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Subiri uone Sasa tunambeba kwa Bei chini ya hiyo €100m
Mudryk ni mchezaji anaetegemewa pale Donetsk sio kama kina Jesus ambao baada ya ujio wa Halaand walikua hawana tena nafasi kwenye timu.
Kuanzia wiki ijayo Real Madrid, Psg na Man United wanatuma offer zao Shakhtar Donetsk tuone jinsi mtavyotupiwa usoni hizo £50k.
Niliwaambia mapema kama kweli mnamtaka Mudryk mmalizane mpema kabla ya fainali ya Wc, baada ya kumalizika kwa Wc nyinyi kima hamtakua na uwezo wa kumsajili Mudryk.
Ila Aaron Arsenal huyu Mudryk anaitesa sana nafsi yako, tokea zilivyoanza tetesi za Arsenal kumsajili nafsi yako haina amani kabisa mpaka utakapomuona anatua Emirates
 
Hivi unajua mchezaji mwenyewe hataki kusikia timu nyingine zaidi ya Arsenal? Hiki ndicho kinafanya twende nao mdogo mdogo


These Ukrainians think they are dealing with Manchester United
Brev this is The Arsenal! We don’t pay over the board!!!
 
This is not a case of bid rejected, that's it.

Talks are still going on for Mudryk. Arsenal want to get it done early.

[Via @charles_watts]

Want to get it done early huku una mkono wa birika?

Mkurugenzi shikilia hapohapo hamna kulegeza kamba.


"Ikiwa mtu anataka kumnunua Mudryk, lazima alipe pesa kubwa, kubwa na kubwa. Vinginevyo rais wa klabu hatamuuza.

Klabu zote lazima zimuheshimu rais, ziiheshimu Shakhtar na mwisho zimuheshimu Mykhailo Mudryk, ambaye ni mmoja wa wachezaji bora niliowahi kuwaona, ndiyo maana bei ni ya juu sana."
 
Arsenal remain in talks with Shakhtar Donetsk over forward Mykhailo Mudryk. Gap in valuations exist and structure of payment under discussion. Told there is "cautious optimism" a deal can get done. #AFC #Mudryk
 
Shaktar want €100m for Mudryk when their whole squad is worth €115m.

Just buy the club, move Mudryk over and sell the club again for €50m. Problem solved.

Au manasemaje wadau?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…