Arsenal (The Gunners) | Special Thread

labda ni kwa sababu ni mwana arachuga kwa wahuni. ingawa mimi mwenyewe ni wa huko ila mimi najiona ni wale ma gentlemen wa chuga 😀 😀
Yeah.......haiwezekani kuwa na tabia moja hata kama ni wa tumbo moja.
 
uN
Huyo Flano soon ataunga juhudi ImaratI
UNAMWONA KAMA SHABIKI MPYA WA THE GUNNERS MUDA SI MREFU? 😀 😀 😀 Hapana bwana. Ingawa hata yeye mwenyewe ManUTD anawaita manyumbu, yeye ni mpenzi tuwa mpira na anajua kutokujipa stress za kijingakisa mpira. Kifupi jamaa yuko matured.
 
😀😀😀 siku hizi naingia humu kusoma updates lakini zaidi ni kusoma Flano na Carrasco putin wamepost nini. World cup ikiisha habari za arsenal zitarejea 😀😀
Safi sana mkuu ila usiwe unapita kimya kimya, uwe unachangia mada japo kidogo.
Sasa hivi mimi nimeweka kambi humu maana jukwaa lenu limekua la moto sana halipoi.
Vijana wenu wanatwambia Arteta lazima achukue tuzo yake Qatar, maana yeye ndie mwalimu wa makocha wa timu ya Morocco na Argentina.
 
Siku hizi nafasi imekuwa finyu sana kwangu. Hata mechi nashiindwa kuangalia. Mambo juu ya mambo ila nifanyeje sasa na ujana ndiyo upo sasa hivi? 😀 😀 😀 Acha tupigane na life kwanza . Nikishakaa sawa nitarudi mazima.
 
Mwambie huyo @ulikamafu mpira ni starehe na burudani iliyojaa ucheshi, asiichukulie serious sana mpaka akapata depression.
Wazungu wenye timu zao huko ulaya wanapiga mkwanja mrefu halafu nyinyi mashabiki mliokunywa maji ya bendera mnaanza kugombana na kutukanana wengine mpaka wanauana kisa kushabikia hizi biashara za wazungu.
 
Kabisa mkuu. Huwa siwaelewi watu wanaotukanana humu kabisa.
 
Safi sana.... kweli matured n stressless na haporomoshagi matusi. Ila ataunga juhudi we sikilizia...
 
Siku hizi nafasi imekuwa finyu sana kwangu. Hata mechi nashiindwa kuangalia. Mambo juu ya mambo ila nifanyeje sasa na ujana ndiyo upo sasa hivi? 😀 😀 😀 Acha tupigane na life kwanza . Nikishakaa sawa nitarudi mazima.
safi sana Mkuu, huo ndio ukomavu wa akili, Mwanaume anaejielewe huu ndio umri wenyewe wa kupambana na maisha.
Kuna mbuzi humu zisizojielewa ziko tayari kuharibu kazi zao kisa AsaniWali wapo uwanjani.
Mkuu MUNGU akubariki sana na azidi kukufungulia baraka zake katika mapambano yako ya kutafuta riziki yako ya halali.
 
yaani mimi niwe Arsenyani?
Labda Edu na Arteta watoe fungu nene sana la kunisajili kama shabiki wao muhimu wa Afrika mashariki na kati.
Pesa ipo hata sisi tutachanga kama kwenye harusi uje.
 
Dogo ana ujuma kaseja fulani kwenye kuchheza penati.
 
Mkuu hamis77 mbona unataka kufufua tena majibizano yasiyo na tija yoyote ambayo tulishakubaliana katika kutokukubaliana.
hamis77 kwa busara zako wewe ndio nakutegemea uwe kiranja wa hili jukwaa katika kusuluhisha migogoro yote isiyo na tija, naomba usiniangushe kwa hili.
Sasa hivi mashabiki wa timu nyingine zote wanalichukulia hili jukwaa la Arsenyani kua ni jukwaa lililojaa utoto mwingi kutokana na mabishano yasiyo na maana yanayopelekea kuanza kutukanana wenyewe kwa wenyewe.
 
Allegri will not have Chiesa,Bonucci for the match against #Arsenal as they are injured. Vlahovic also struggling with a groin lesion.

(@DiMarzio)
 
Nyie Arteta ndio kama mungu wenu, atakachosema ndio hicho hampingi. Siku akiwaomba kidoti amchelewi kumpa nyie misukule ya arteta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…