Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Halafu tunamchukulia poa Sana Nelson

Kuna mtu nilikuwa namuambia hata elneny amebadilika Sana toka aje Arteta, ndio sababu Arsenal haina haraka kusaka DM ,

Wachezaji wengi wame improve
jidanganyeni hivyohivyo na hizi mechi za kirafiki, dirisha dogo likifunguliwa Kroenke aone hamna haja yoyote ya kufanya usajili kipindi hiki.
Kimbembe kitakacho wakuta katikati ya mzunguko wa pili msianze kumtukana Arteta humu.
 
hapana aisee, mbona hata pre season tulishinda karibu mechi zote na usajiri ulifanyika
 
hapana aisee, mbona hata pre season tulishinda karibu mechi zote na usajiri ulifanyika
Hongereni kwa ushindi mnono wa 2-1 dhidi Ac Milan.
Pre season iliyoisha ilikua ni ya dirisha kubwa hio lazima usajili ufanyike kwa timu yoyote hata iwe ni Ihefu Fc, ila hili dirisha dogo timu nyingi zinazomilikiwa na Mabahili hua wanapuuzia kufanya usajili.
 
Hapana ,Kama Kuna mapungufu lazima kocha aombe fungu la usajili ,

Pre season mara nyingi wanapewa nafasi wanaotoka majeruhi na makinda
 
Walisema hili kombe Dubai Cup lazima kuwe na penalties kudetermine mshindi kipointi... sijui imeishia wapi?
Sheria inasema ushindi wa dk 90 points 3 , penalty points 1

Mechi zote 2 tumeshinda dakika 90 na kwenye penalty huku kipa Hein akiibuka shujaa kwenye penalties zote za mechi 2

Ni dhahiri Sasa tumezalisha kipa mwingine mbabe wa penalties Baada ya Lucas Fabianski na Emi Martinez
 
Arteta -

"Lazima tupandishe viwango. Tulijadili mambo ambayo tunafanya vizuri, na sio bahati mbaya tumekuwa tukifanya vizuri lakini ikiwa tunataka kushindana kileleni, lazima tuboreshe baadhi ya mambo. ."


(Arsenal)

 
Arteta on Arsenal plans for January:


“We are very active looking at the possibilities. If we can find the players that can strengthen the team we will try”,

#AFC

“Ben White? We love to have him here. We know the reasons he had to leave”.
 
Nakupa hii ,kipindi fulani cha Corona Mikel Arteta alifanya Lecture kupitia Zoom,alikuwa anaendesha vipindi kuhusu Mpira ,moja ya Lecture alifundisha aina ya Low block akitumia mfano wa mechi ya Nusu fainal FA cup Arsenal vs Man city ambayo Arsenal alishinda 2-0 , Kocha wa morocco Walid Regragui hapo awali alikuwa amehudhuria moja ya mihadhara iliyotolewa na kocha Mikel Arteta,

Jana Arteta kampongeza Walid Regragui

Arteta on Walid Regragui ,Morocco coach - "The impact he’s having, he’s a total credit to them. What he is doing is amazing, and what he is transmitting is great, and it’s a really positive thing for world football to have an African team at the stage."

(Arsenal)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…