computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
That's why hata timu yao ya Taifa(EnglandNaanza kukubaliana na wewe, media za UK Ndio zinampigia promo kubwa sana
Hivi sasa England tayari imeshapangiwa first 11 vs Iran na waandishi wa habari, columnists, wapambe, mawakala, majarida, mucisians, editors, fans, walevi, mashoga, pundits, akina Neville..That's why hata timu yao ya Taifa(England)haina Maajabu! Miaka nenda rudi
Promotion kuuuubwa wakati bidhaa ni hafifu!.... Kweli waingereza wanajua kutumia media effectivellyThat's why hata timu yao ya Taifa(England)haina Maajabu! Miaka nenda rudi
Fikiria timu inayomtegemea Maguire na Sterling kuna issue hapo?Promotion kuuuubwa wakati bidhaa ni hafifu!.... Kweli waingereza wanajua kutumia media effectivelly
Eti kocha bora ukamtaja Arteta, hivi nyie Arse88 mmerogwa? Nahisigi kuna nyaya zinagusanga nyie watu.England wana timu nzuri, quality all over the pitch, ila final nadhani watacheza Brazil & Argentina. Timu km Brazil/Argentina kuna wachezaji wengi wanaocheza timu kubwa ulaya siku hizi, hivyo wamepata elimu bora kimbinu chini ya makocha bora ex: Pep, Simeone, klopp, Arteta plus vipaji walivyonavyo, kama technical bench watakuja na system inayofit profile walizonazo now they're unstoppable. Sidhani kama kuna timu nzuri kuzidi Brazil kwenye WC, all eyes on Tite now, binafsi naipenda Brazil ila Messi nampenda zaidi, God save the king.
Basi uridhike ,kocha Bora PotterEti kocha bora ukamtaja Arteta, hivi nyie Arse88 mmerogwa? Nahisigi kuna nyaya zinagusanga nyie watu.
Bora umuelekeze,,,, anapewa ubora kwa kipi ? Huyo ni upcoming, lets wait and see ! One season wonder !!!!Eti kocha bora ukamtaja Arteta, hivi nyie Arse88 mmerogwa? Nahisigi kuna nyaya zinagusanga nyie watu.
Season wonder gani? wkt hata robo y msimu bado, msimu huu akijitahid sana nafas y tano. Wanajazanaga ujinga hapa kama hujui utafikiri wana timu y kina xav,inesta,mess na kocha pep.Bora umuelekeze,,,, anapewa ubora kwa kipi ? Huyo ni upcoming, lets wait and see ! One season wonder !!!!
Kashinda kombe gani la maana ? Au Ni ile FA ?
Petter hana hata mechi 10.Basi uridhike ,kocha Bora Potter
Vipi hapo umeridhika?
Unaumia Sana ,Arteta ana miaka 2 na miezi 10 , ana FA cup kabatini, timu ipo mikono salama, au unadhani sawa na kina ole guna, Kama mlivyokuwa mnadai,?Bora umuelekeze,,,, anapewa ubora kwa kipi ? Huyo ni upcoming, lets wait and see ! One season wonder !!!!
Kashinda kombe gani la maana ? Au Ni ile FA ?
Kwan kaanzia ChelKenge? Huyo Ni average coach,na atawapeleka nafasi ya 12-10 msimu huuPetter hana hata mechi 10.
Ulitaka tusifie litimu lako ambalo hata pass mbili haliwezi?Season wonder gani? wkt hata robo y msimu bado, msimu huu akijitahid sana nafas y tano. Wanajazanaga ujinga hapa kama hujui utafikiri wana timu y kina xav,inesta,mess na kocha pep.
Mwezi wa tano next year utakuja na kauli nyingine hapa jukwaani !Unaumia Sana ,Arteta ana miaka 2 na miezi 10 , ana FA cup kabatini, timu ipo mikono salama, au unadhani sawa na kina ole guna, Kama mlivyokuwa mnadai,?
One season wonder? Wivu utakuua, hata Cr7 mwenyewe anataman jinsi Arsenal wanavyokichafua,
Manyumbu mnahitaji miaka 3 angalau mcheze hivi anavyocheza arsenal ,japo CR7 na waliopita hapo unyumbuni wanadai inaweza kuwachukua miaka 10
Unapiga ramliMwezi wa tano next year utakuja na kauli nyingine hapa jukwaani !
Acha ushirikina kijana ,mlianza kudai Ni preseason TU, mkaja oho tusubiri October hatuwezi kutoboa ,Hadi makala mkachapishaMwezi wa tano next year utakuja na kauli nyingine hapa jukwaani !
Kwa binyauKwa bi nyau..... umenikumbusha.