Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ian Wright (@IanWright0) - "


He's(Martinelli) much better than I thought he would be after talking to him in preseason. I know how much Klopp loves him. He's taken every defender he's faced to the cleaners * (via @WrightysHouse) https://t.co/xszfVbLGTQ
 
Huyu anakuwa kama shafih dauda na wenzie wabongo

Miaka yoote xhaka anatukera sababu ya kupewa kazi anayoifanya partey sasa hivi.
Hawa ndio wakipewa timu wanaishia kufukuzwa, maana hawawezi kujua profile za mchezaji, Ni wapi acheze upate ubora wake

Mwenzie Garey Neville hataki Tena kurudi kwenye ukocha
 
Tusitarajie Sana kupata ubora wa Saka na wengineo katika mech Hizi za mwisho,

Mech na Chelsea ,Saka alikuwa anacheza hataki kugongana ,unaona kabisa anawaza World cup ,na hii trend ya wachezaji kuumia , inazidi kuwatisha

Saka ninayemjua angekiwasha ile mech , Cucullera alikuwa uchochoro Sana,

Saka ,martinel n.k sidhani Kama watakuwa tayari kuingiza Miguu sehemu hatarishi kwa Hizi Mechi 2
 
Nyie arsenyani kikosi gani mlichopanga mpo serious na mikeka yetu kweli nyie.

hapa nilalage tu nisione mnavyominywa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…