mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,592
- 19,232
Hiki ndio tunakihitaji zaidiKwa Historia yake aliyopitia ,kukataliwa na man u,Barcelona , kule Italy,akaamua kurudi Brazil , Edu akamwambia tangulia Arsenal nakuja January , Amefika arsenal akathaminiwa
Alishasema yupo Sana Arsenal
Sawa na Smith Rowe Mtoto wa nyumbani alishasema muda wowote Leta mkataba anasaini
Yan arsenal akifungwa mimi niliekuwepo buza sitaumia sana kama atakavyoumia martineli, saka, Rowe, saliba, xhaka, zinchenko, Tierney
Hao ni arsenal fans kindaki ndaki,
Ndio maana arteta anasema mtu akilinga hatumbembelezi
Raphina, yule mshambuliaji ambae yupo juve,
Tunahitaji watu wanaotaka kuja kuipambania arsenal,
Magenge ya wahuni ni kule unyumbuni na chelshit
Chelshit anamtoa Werner anamuweka Sterling. Sijui ndio kafanya nini