Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,080
- 16,052
Haya naomba na wewe utambue hivi, Yvone Bissouma alikuwa kwenye list ya wachezaji wanaotakiwa na Arsenal kwa dirisha lililopita, ni Spurs tu ambao wali rush kumaliza dili wakijua watambania Arsenal- nasema hivyo kwa sababu Spurs haikuwa na haja sana na Bissouma maana wana viungo wengi kama yeye: kuna huyo Bentancur, Hojgberg na Skipp. Maybe angewapa other options kama box-to-box mana mara kadhaa alikuwa akifanya hivyo kipindi yupo BHA huku Alzate akiwa kama DM.Ok elewa hivo, but Bissouma kwa £25m alisubiri ofa ya arsenal na top clubs zikamchunia ,mwisho mezan akawa na ofa moja tu kutoka Spurs
Akaona aende, na bado anasugua bench mbele ya bentacur na hoijeberg.
Top clubs zinaachana na viungo wagumu , hata Chelsea waliacha kumtumia Kante Kama DM msimu wa 5 huu ,
Top clubs hazitegemei Tena ziwe na mtu maalumu wakukaba ,Zina defend kwa unit na structure maalumu .
Viungo wakabaji utawakuta middle teams ,
Mfano kilichomtokea Spurs against United , 3DMs vs 1DM akazidiwa dk zote 90
Kuhusu kusugua benchi Spurs sishangai kwa sababu kila kocha ana namna yake ya uchezaji. Mfano mzuri ni Pulisic wa Tuchel na huyu Pulisic wa sasa wa Potter, ni watu wawili tofauti.
Halafu fans wenzangu wa Arsenal sometimes tunafurahisha sana, kwa mfano huyo Bissouma wakati yupo BHA kila mtu alikuwa anataka asajiliwe, na alivyoenda Spurs watu waliumia sana. Eti leo yupo Spurs ndo wanamuita mvunja kuni!
Haya naendelea kujiuliza hapa, umesema viungo wakabaji wapo middle teams tu? Hivi Fabinho 🤔..... au basi ngoja nisiendelee.