Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Yeah,mpira umeisha,tumefungwa goli moja bila,lakini haisummbui sana kivile,nina uhakika tutatoka next match ndani ya Imarati,maana leo nilitegemmmmmmmmea tutapigwa 2 au 3.Heko kwa Sylivestre,nilmunderestimate,amecheza vizuri kwa kweli,pia golikipa Almunia...Nina uhakika next match tutatoka