At least mechi ya leo ni entertaining si kama ya jana. Ferguson alisema goli moja linawatosha...Naona kama inaelekea kuwa kweli...Tusubiri tuone,mpira dk 90.
Usisahau kutupa hongera kule kwenye jukwaa letu..Maana huwezi jua labda marudiano watalipiza kichapo kwao pale Emirates..Thanx for you support my dear!!!!