Kwahiyo geita gold wanajivunia mafanikio ya kiatu chà mpole last season?ok sawa mkuuKatoa opinions zake na ni among players ambao kaipa heshima Arsenal ana kiatu cha dhahabu siwezi kumjudge never ever mawazo yake yaheshimiwe
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
We unaongeaga upupu sana mean mfuata upepo unamchukuliaje Auba?sababu kaondoka Arsenal leo unamponda? Mtu aliyescore more than 70 goals na ana kiatu cha dhahabu unamtumkana?are you mentally fit kweli?Arsenal ilikaa zaidi ya 10 years haina mfungaji auba akatupa credit leo unamkataa? We jamaa sio mzima
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Haya maneno tunatumiaga kwa watu ambao sio washabiki wa Arsenal mkuu,mnawekana sawa na shabiki mwenzio wote wanafamilia moja ya nini kutupiana maneno makali?INASHANGAZA SANATuliza makalio yako let's focus ya mbeleni umeandika ushuzi mzee sipendi unafiki wa kijinga Auba ni player ambaye lazima tumpe respectyake hata kama hutaki acha unaa wakati Auba anatupa raha why hukuandika upumbavu kama huu?mchezaji yoyote aliyetupa something hastahili kutukanwa au kusemwa lolote that's why fans wengi wa Arsenal ni wanafiki usen*** e mkubwa huu Auba kwangu hastahili kutukanwa may be wengineo siku Jesus akisepa akaenda kumtukana coach utakuja na upupu huu?Mesut mzee wa assist haijawahi tokea Arsenal akitoa maoni yake naye tumtukane ili iweje?huu unafiki nauchukia sana any player ambaye ametupambania tumuache hata kama akitutukana hivi wakati Auba anakuja Arsenal Jesus alikuwa wapi?Auba ana score 22 goals na kutupa FA na Community Shield tulikuwa tunamuwaza Jesus atakuja kuplay Arsenal?bro bro bro unafiki ni kitu kibaya sana sana I don't like that habit at all kila mchezaji ana umuhimu kwa kipindi chake na respect yake lazima apewe hata kama atatutukana au atuseme but RESPECT IS RESPECT
Wright Adams Vieira Van Persie Nasri Cesc Winterburn Dixon Bergkamp Seaman and So many legends hawa any time hata akiitukana Arsenal you don't need to react chukua maoni songa mbele waliyotupatia katika timu yetu enzi hizo yanabakia katika history ya Arsenal for example kwa akili yako fupi unataka kusema golden Boot ya Auba haipo katika Makumbusho ya Arsenal? Some fans kama wewe unakwama wapi bro?mbona una akili za kutosha kwa hili why unapotoka?Auba ana makumbusho yake ambayo yatadumu pale Arsenal kama katoa maoni unayachukua then unasonga mbele life goes on
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Baba yako pia ni shabiki wa arsenalUtafit hauongopiView attachment 2385288
Mkuu wewe huwa ni mbishi na mimi huwa nasimamia nachokiamini so close the chapter hatutafikia muafaka let's focus na game ya leo broMkuu utake au usitake Ila ukweli ni kwamba Una matatizo...! Kwenye comment uliyo niquote kuna sehemu me nimemtukana Auba?
Ukiwa unataka kutetea hoja yako usiwe Una twist maneno, hakuna sehemu nimemtukana Auba Bali me naongelea hoja yako ya kusema Arsenal hakuna mchezaji Mkubwa ndo nauliza ukubwa wa mchezaji unapimwa Kwa vigezo gani?
Kama wewe unamuona Jesus ni mchezaji mdogo na Auba ni wachezaji mkubwa it's ok kila mtu anabaki na perception yake ila tukijua vigezo ulivotumia kuwatofautisha sio mbaya
Silaha yako wewe always waga ni matusi na sio facts wala points katika kujenga na kutetea hoja zako, matusi hayakufanyi uonekane mjanja, matusi kila mtu anaweza ila kujenga hoja na kutetea hoja sio kila mtu anaweza
Matusi ni njia ya kujihami Kwa mtu Mjinga na Asiejiamini, humu ndani hatujuani kwahiyo kila mtu akiamua kuanza kutukana basi watu tunaweza kukesha ila hayo hayana maana kwa kila mtu mwenye busara na kujitambua
lengo la hili jukwaa ni kuleta wanamichezo pamoja na hasa mashabiki wa Arsenal,kufamiana,kufatilia kwa ukaribu habari za team na kubwa kabisa ni kubadirishana mawazo juu ya Team Yao na sio kubadirishana MATUSI
Anyway, kama hutojali tunaweza kuendelea na hoja ya vigezo gani umetumia kusema Arsenal hakuna mchezaji Mkubwa ilhali kuna Jesus pale, mchezaji aliewin kila kombe England au mwenzangu ukubwa wa mchezaji ni kuwa na hasa striker ni kuwa top scorer?
Na Kusema kuwa Auba katuheshemisha Arsenal ni katika kitu gani au nyanja gani?
Pamoja MkuuMkuu wewe huwa ni mbishi na mimi huwa nasimamia nachokiamini so close the chapter hatutafikia muafaka let's focus na game ya leo bro
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kitu mnachokosa wengi kuelewa ni kwamba defender sio tu kuwa fighter, ingekuwa hivyo hata Mwamnyeto/ Mwantika wangecheza Arsenal. Kitu anachokosa Gabriel na tuliongea toka mwanzo ni uwezo wa kuusoma mchezo, kuwa calm and confident kwenye chaotic Situations. Utulivu wa Saliba unatosha kumuelezea Gabriel.Namtetea Pia Gabriel, he is a fighter, anasaidia sana timu, makosa yake ni ya kibinadamu. Mashabiki Are forgetful. Naamini with time, he will improve, you cannot dispose of such an aset. Let us be patient.
Gabriel ni defender ambaye anaicost team (sio beki mbovu ni beki mzuri wa kawaida) na hata sasa hivi kapoteza nafasi yake BrazilKitu mnachokosa wengi kuelewa ni kwamba defender sio tu kuwa fighter, ingekuwa hivyo hata Mwamnyeto/ Mwantika wangecheza Arsenal. Kitu anachokosa Gabriel na tuliongea toka mwanzo ni uwezo wa kuusoma mchezo, kuwa calm and confident kwenye chaotic Situations. Utulivu wa Saliba unatosha kumuelezea Gabriel.
Hakuna anayesema Gabriel hato-improve, potential anayo lakini itamchukua muda, na muda wa kuvumilia mchezaji haupo cuz tunahitaji makombe sahivi.
I like itFor Mikel Arteta, every break in play is a coaching opportunity.
There were a few brief words with Gabriel. Then the Arsenal manager called over Granit Xhaka, one of Arteta’s most trusted lieutenants. The two engaged in dialogue about Xhaka’s positioning.
It was striking that this was a two-way conversation. Arteta was asking Xhaka questions rather than simply giving orders. It was an open exchange between two men who trust each other implicitly. If Arteta has a tactical tweak, Xhaka is frequently his first port of call.
View attachment 2385442
Wewe huna ubongo kabisa🤣🤣🤣🤣Hamuna
Hakuna
HUNA AKILI.
Kuna Kocha bhana alilalamika Sana hii ya Arteta kuendelea kutoa maelekezo kila mpira unaposimama🤣🤣I like it
Tafsiri nyingine kocha anaongea na kocha msaidizi (xhaka)Kuna Kocha bhana alilalamika Sana hii ya Arteta kuendelea kutoa maelekezo kila mpira unaposimama
Hii kitu ipo vizuri sana kilio chetu cha big 6 kuwin ndio hichi na hao Manchester United inauma sana kutuharibia results zetu anyway Chelsea lazima afe no matter whatEnglish Premier league big six
1) Arsenal
2) Chelsea
3) Liverpool
4)Man City
5) Man United
6) Tottenham
The test against Arsenal
1) Man United
2) Tottenham
3) Liverpool
Remaining 2022 fixtures
1) Chelsea
2) Man City
The test against Man City
1) Man United
Remaining fixtures
1) Liverpool
2) Chelsea
3) Tottenham
4) Arsenal
The test against Man United
1) Arsenal
2)Man City
3) Liverpool
Remaining fixtures
1) Chelsea
2) Tottenham
The test against Chelsea
Remaining fixtures
1) Arsenal
2)Man City
3)Man United
4) Tottenham
5) Liverpool
The test against Tottenham!
1) Arsenal
Remaining fixtures
1) Man City
2)Man United
3) Liverpool
4) Chelsea
The test against Liverpool
1) Arsenal
2) Man United
Remaining fixtures
1)Man City
2) Chelsea
3) Tottenham
Safari hii hata mancity ajiandae,Hii kitu ipo vizuri sana kilio chetu cha big 6 kuwin ndio hichi na hao Manchester United inauma sana kutuharibia results zetu anyway Chelsea lazima afe no matter what
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Said it all....Ama kweli nimeamini ata iweje maji hayawezi kusahau Asili yake, ata yachemshwe kiasi gani yatarudia tu ubaridi...! Kuna ndugu yetu asharudi kwenye Default mode kama kawaida yake, Ashaanza hoja zake ambazo hazina kichwa wala miguu
Hivi kwani mchezaji Mkubwa anapimwa Kwa vigezo gani maana isije kuwa tunachanganya Kati ya mchezaji Mkubwa na mchezaji maarufu
Kwa Akili zangu tu za kuvukia barabara naamini kuwa Gabriel Jesus ni mchezaji Mkubwa kuliko Auba, naamini kuwa Bobby Firmino ni mchezaji Mkubwa kuliko Auba nk
Kama kuwa top scorer ndio kuwa mchezaji Mkubwa basi Auba ni wachezaji Mkubwa kuliko kina Tevez,Eden Hazard,Wayne Rooney,Ian Wright nk
Umuhimu wa Gabriel Jesus pale Arsenal ni mkubwa sana maana yeye Kwa sasa ndio anachange atmosphere ya dressing room,ameletea nguvu na hali ya kupambana,ameleta mentality ya upambanaji na ata akiwa anaongea wachezaji wenzie wanamskiliza maana ameshinda mataji kibao pale England kuliko wao, sasa sijui mchezaji atamskiliza Auba Kwa kipi?
Kwa tafsiri rahisi kabisa na isiyokuwa na makando kando Jesus ni mchezaji Mkubwa katika ligi ya England kutokana na contribution zake akiwa City, kuwa top scorer hilo linawezekana Kwa mchezaji yoyote Yule na kutoka team yoyote ile ktk ligi, ila kuwa mchezaji mkubwa sio rahisi kama kuwa top scorer