Huu uzi mwekundu wa Arsenal unaweza kwenda hata kuolea ,mali safi kabisaPictures: Arsenal’s squad photocall for the 2022/23 season.
View attachment 2377133View attachment 2377134View attachment 2377136View attachment 2377137View attachment 2377139View attachment 2377143
Tutakuwa pamoja CastrChelsea ilicheza mpira mbovu mno msimu wa pili wa Conte.
Miaka yote conte ndivyo anavyozichezesha timu zake, watu 7 mtakaba, 3 wa mbele subirini long balls. Hapo akitegemea pace ya Son na Richarlson, Inter aliitegemea ya Lukaku, Martinez na Hakimi.
The only reason amekua akicheza mpira mbovu na anapona mara nyingi ni kwakua Kane na Son wanaweza create chance outta nothing. Spurs looks dangerous going forward mara zote kutokana na hao watatu.
Ukizuia long balls za Spurs unakua hauna tofauti na unapocheza na Brighton.
Tupo pamoja ndugu zangu. Sijanunua simu bado.
Upo sahihi li mpira lake Ni Hilo Hilo , Msimu wakwanza pale Chelsea alikuja na 3-4-3 ,mfumo ambao ulikuwa hautumik kabisa epl , hivyo aliwa surpriseChelsea ilicheza mpira mbovu mno msimu wa pili wa Conte.
Miaka yote conte ndivyo anavyozichezesha timu zake, watu 7 mtakaba, 3 wa mbele subirini long balls. Hapo akitegemea pace ya Son na Richarlson, Inter aliitegemea ya Lukaku, Martinez na Hakimi.
The only reason amekua akicheza mpira mbovu na anapona mara nyingi ni kwakua Kane na Son wanaweza create chance outta nothing. Spurs looks dangerous going forward mara zote kutokana na hao watatu.
Ukizuia long balls za Spurs unakua hauna tofauti na unapocheza na Brighton.
Tupo pamoja ndugu zangu. Sijanunua simu bado.
Kuna mtu nilimwambiaga saka akiwa na mpira ule utulivu wake unawaondoa mabeki out of position na kunakuwa na mashimo mengiBEKI MMOJA HATOSHI KUMKABA SAKA
Ili timu pinzani ziweze kumkaba Saka ,zimekuwa zinatumia wachezaji wawili had WATATU,
Faida tunayoipata Ni ku create chances , kwa wengine , Dhidi ya Spurs Hata goli la Partey Saka alifatwa na wachezaji watatu wa spurs , kilichotokea wakamuacha Partey Free ,
Unaweza usimuone Sana Saka akifunga ila ndiye kichocheo Cha wengine kufunga , Hata goli la 2 Dhidi ya Spurs Ni kazi ya SAKA,
Timu nyingi zinajua hatari ya SAKA , hivo mechi nyingi lazima akabwe na mabeki had WATATU .
Hi ndio tofauti ya SAKA na Pepe ambaye alishindwa kufanya hiki kitu, Pepe ilihitaji beki mmoja tu kuziba njia , Lakini SAKA inahitaji mabeki wawili had watatuView attachment 2377496
Conte hajawahi kucheza mpira mzuriConte wa Spurs simuelewi kabisa. Sijui shida ni nini. Maana alipo kuwa Chelsea na Inter alikuwa anacheza mpira mzurii, Wachezaji Wana press mpaka golini. Lakini Spurs ana jilindaa sana haijarishi anacheza na giant au underdog
Yah anawavuta kwenye touchline then anaanza kuwatoa mabeki kwenye position zao ili kutoa nafasi kwa Ode ,Jesus,wafanye yaoKuna mtu nilimwambiaga saka akiwa na mpira ule utulivu wake unawaondoa mabeki out of position na kunakuwa na mashimo mengi
hakimbii sana ila akiwa na mpira beki mmoja sio beki na anamfuata
baada ya makocha kugundua hilo wamekuja na mbinu ya kumzuia kwa wachezaji zaidi ya mmoja hivyo tunakuwa na wachezaji wawili wapo free kwenye ku attack
Conte ni kocha mzuri tactically na uwezo wa kuingia top 4 anao ila sio kushinda ligi EPL sababu kinachofanya kocha yoyote ashinde EPL kwa sasa anahitaji kuwa bora kwenye every phase of play, Conte hafanyi vizuri kwenye build up phase, hata anapobuild play utaona anaignore midifield phase mara nyingi kwa kucheza long ballsChelsea ilicheza mpira mbovu mno msimu wa pili wa Conte.
Miaka yote conte ndivyo anavyozichezesha timu zake, watu 7 mtakaba, 3 wa mbele subirini long balls. Hapo akitegemea pace ya Son na Richarlson, Inter aliitegemea ya Lukaku, Martinez na Hakimi.
The only reason amekua akicheza mpira mbovu na anapona mara nyingi ni kwakua Kane na Son wanaweza create chance outta nothing. Spurs looks dangerous going forward mara zote kutokana na hao watatu.
Ukizuia long balls za Spurs unakua hauna tofauti na unapocheza na Brighton.
Tupo pamoja ndugu zangu. Sijanunua simu bado.
Kama utakumbuka lile goli la martinel vs villaYah anawavuta kwenye touchline then anaanza kuwatoa mabeki kwenye position zao ili kutoa nafasi kwa Ode ,Jesus,wafanye yao
Nakumbuka ,Had Gerald niliona analamikia mabeki wake , watano wote walimuangalia sakaKama utakumbuka lile goli la martinel vs villa
aliwatoa mchezoni wachezaji watano wote wanamuangalia yeye kisha akamtupia martinel akafunga kirahisi sana
Niliandika hapaLiverpool ukitoa kile kikosi chake cha kwanza ana nini cha ziada
Kukosekana kwa Thiago, Nunes, Anderson
Wiki zilizopita aliyumba sana kimatokeo
Na ata walipo rudi, bado wana struggle.
Alikua ni kikosi kamili lakin katoa draw na Brighton
Tena Brighton kapiga mpira mkubwa sana
Au nyumbu, japo ana wachezai wengi kuliko arsenal.
Ukitoa ile starting eleven yake, nae niambie ana nini cha ziada?
Ata uyo Chelsea kikosi anaunga unga tu
Kumbuka arsenal bado hatuna full squad
Na pengo kubwa akikosekana partey
Ila baada ya game na Liverpool, wanaofata hata bila ya partey ni Fimbo tu
Liverkuku mwenyewe nae ajiandae FIMBO za kutosha
Martinel ashaanza kutuma salam kwa A. anorld
Kwa sasa hakuna mid ya liverkuku inayoweza ku-battle na partey
Saka hawana uwezo wa kumzuia ata kidogo, kwanza huwa anakabwa na wachezaji kuanzia wawil
Saliba na Gabriel huo ukuta ameushinwa Kane, sijui huyo nunez na wajjnha wenzake watakuja kufanya nini
Zinchenko wamoto
Odegard wamoto
Xhaka ndio man of the show
Haaland anabeba kiatu
Arsenal anabeba ndoo
Hapo mwishoni sijaelewa unaongelea ndoo gan
Man u bado hawana winga wa kucheza kwenye touchline , Sancho Ni Inverted forward Zaidi kuliko winger , Anthony sijawahi kuona tofauti yake na Pepe , show game , lkn sio mawinga wakumfanya beki ahangaike dk zote,I believe Man u wakipata GK mwenye quality( chip balls) aina ya Ramsdale/ Ederson wanaweza kucheza mpira mzuri cuz technicians wazuri wapo kama Antony / Sancho ambao wakiwa kwenye nafasi nzuri wanakumaliza. As long as De Gea yupo golini wataendelea kustruggle kuretain possession dhidi ya timu bora, na itakuwa vigumu kucheza aina ya mpira kocha anaotaka.
Man u mlimuua?Nimeichek game ya barca
Kwa watu aliokua nao Xavi nadiliki kusema Xavi uwezo mdogo
Arteta anajua jamani
Amepigiwa low block na inter ameshindwa ku-unlock
Arteta au guardiola ukikaa nyuma ndio wanakuua vizuri
Wamrudishe Poch tuu ...Ameanza kutafuta kichakaView attachment 2377831
Huyu mwisho wa Siku atagombana na LeviAmeanza kutafuta kichakaView attachment 2377831