Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo lazima mkalie hiki kidole ,pimbi nyie
Mnafungwa na nyumbu FC
London is blue
IMG_20220831_134836.jpg

Fyoko fyoko fyoko! ,
Wakuchukua ubingwa muwe ninyi ? , Mxieew .
Mnawazimu
Wanaume wanarudi kuchukua nafasi zao nyie pimbi level zenu ni Europa
 
logically tunahitaji penetration pass za maana.Kwaninavyoangalia game,ukubwa wa mechi,tempo ya mechi,calmness ya wachezaji,buildup play,phisicality ya wachezaji,technically na tactically I can finally say arteta na watu wake kuna kitu wanafanya na kinaonekana.Hii haitegemei matokeo yatakuwaje
 
Leo lazima tuwajazie nzi humu kenge nyie , sikuhizi kshinda hivyo vimechi viwili mmejaa viburi kauli mbovu mbovu , mmesahau nafasi yenu mnajiona title contender ,
How dare you ?
Bladi ful
ongea kishabik na kimpira kama hivi ulivyozungumza sio huo utoto wa kutuma picha zinazo kuexpose wewe ni mtu wa aina gani.
 
no matter what hapen hii game inakuonyesha sisi tunahatua kubwa mno katika structural play
 
Back
Top Bottom