Wakipona sana 4Leo alipiga defensive ya hatari ila city ameitekenya hadi akalainika
Inabid tujipange, timu hizi za kukaa nyuma inabidi kila mtu ajishughulishe kutafuta goals
Odegard inabid ayatafute mashimo ambayo hayaonekani kwa macho ya kawaida
Jesus
Zinchenko
Partey
Martinel
Xhaka
Saliba
Saka
Mtake radhi saliba weweSaliba ni magwaya wa Arsenal.
Favorite player wangu pale Arsenal kwa sasa yukoNAHISI LEO MARTINEL ANAWEZA KUWA KASHUSHA BEI YA FOFANA
Most wanasema msimu huu Martinell development yake itakuwa juu Kama saka last season
Now ana goli 2, mech 2
Tuna miss uchambuz wako makini mkuuSina simu wakuu ila tupo pamoja.
Ile simu ya kwanza ilikua ya moto. Yaani najua anatoa pasi nashangaa simu ishaitaTuna miss uchambuz wako makini mkuu
Hope soon utapata simu
Au g. Jesus akuazime coz jana alikua na simu mbili
Nafurahi nikiona vitu kama hivi, sasa imagine Tielemans at Lcm & Mr Vieira Rcm, it's so so scary.Kwa kuangalia game ya palace na hii ya Leicester nimeona kuwa arteta anataka kumtumia Xhaka kama vile pep anavomtumia Gundogan
ila ugumu anaokutana nao kocha Kwa Xhaka ni mzito sana tofauti na Gundogan jamaa ana speed Sana, ni second kadhaa tu anatoka kwenye backline unamkuta kwenye opposition box
Kitendo cha zinny kuwa anaingia ndani kutengeneza double pivot na partey then Xhaka anaenda mbele ni the same na pep anavofanya Kwa Gundogan
Xhaka anakosa quality ya Gundogan Kwanza kwenye ufaster lakini pia kwenye kufanya maamuzi sahihi Kwa wakati sahihi anapokuwa karibu na lango la upinzani, Ila somehow anajitahidi na Hongera kwake kwani ana goal na Assist
kama Xhaka atashindwa totally kumaster vile Arteta anataka ni wazi anampa nafasi kocha kukomaa na tielemans maana wote tunajua vile jamaa Yuko Very Sharp compared na Xhaka
Tupo pamoja bro.Ile simu ya kwanza ilikua ya moto. Yaani najua anatoa pasi nashangaa simu ishaita
Kitu kingine ukichunguza kwa makini utaona Xhaka anacheza zaidi kwenye touchline akicombine na Martinelli, Zinny anakuwa as advanced #8 kwenye settled possession, maana yake xhaka anashindwa kuexcel in BTL that's why Arteta anampa role ya kucover LB/ LW endapo zinny yupo kwenye pivot with partey or as adv #8, ukweli ni kuwa Xhaka si mzuri kwenye progressive phase, ubora wa xhaka ni kwenye build up phase. Xhaka si press resistant, Tielemans ni press resistant kumzidi hata Thiago Alcantara. Arsenal tutaanza kucontrol games kama tutaupgrade hizi profile tatu Magalhaes/ Partey/ XhakaKwa kuangalia game ya palace na hii ya Leicester nimeona kuwa arteta anataka kumtumia Xhaka kama vile pep anavomtumia Gundogan
ila ugumu anaokutana nao kocha Kwa Xhaka ni mzito sana tofauti na Gundogan jamaa ana speed Sana, ni second kadhaa tu anatoka kwenye backline unamkuta kwenye opposition box
Kitendo cha zinny kuwa anaingia ndani kutengeneza double pivot na partey then Xhaka anaenda mbele ni the same na pep anavofanya Kwa Gundogan
Xhaka anakosa quality ya Gundogan Kwanza kwenye ufaster lakini pia kwenye kufanya maamuzi sahihi Kwa wakati sahihi anapokuwa karibu na lango la upinzani, Ila somehow anajitahidi na Hongera kwake kwani ana goal na Assist
kama Xhaka atashindwa totally kumaster vile Arteta anataka ni wazi anampa nafasi kocha kukomaa na tielemans maana wote tunajua vile jamaa Yuko Very Sharp compared na Xhaka