Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Wewe unaizidi management ya saton ,? Bazunu kucheza portsmouth kaimprove pakubwa mno ....Hajawahi kucheza championship huyo ,Hivi wewe hata wachezaji wake mancity kumbe huwajui?
kacheza Ligi daraja la pili timu zote alizopita , nitajie kapita timu gan ya championship ?
Soton wamepigwa , unaenda kumnunua kipa kutoka madaraja ya chini Kabisa kwa £12m halafu anakuja moja kwa moja EPL ,utani Kabisa huu
Hivi unajua Forster kawaokoa soton mech ngap anatoka MOT?
BAZUNU hatoshi kuisaidia soton isiepuke VIPIGO vya mbwa , View attachment 2317411
Hiyo timu ipo ligi daraja la ngapi?Wewe unaizidi management ya saton ,? Bazunu kucheza portsmouth kaimprove pakubwa mno ....
ipo league oneHiyo timu ipo ligi daraja la ngapi?
Yan kucheza vzuri huko ligi za chini ndio kawa proven tayari kupambana na EPL?
Tutakupiga marufuku kuja humu, kuongea utumbo
Jibu swali kacheza timu gan championship?Wewe unaizidi management ya saton ,? Bazunu kucheza portsmouth kaimprove pakubwa mno ....
HUYU jamaa anabisha bila kufanya utafiti,Hiyo timu ipo ligi daraja la ngapi?
Yan kucheza vzuri huko ligi za chini ndio kawa proven tayari kupambana na EPL?
Tutakupiga marufuku kuja humu, kuongea utumbo
Ile tackle kwa Zaha ndani ya box in the second half ndo nikasema huyu mtu na nusu.William Saliba ana miaka 21 ila anauwezo wa kudictate tempo ya mchezo, anajua muda gani wa kuharakisha mchezo na muda gani wa kuslow it down, unlike Gabriel Magalhaes.
Huyo alikuwa anamzibiti mbappe na speed zake vzr KabisaIle tackle kwa Zaha ndani ya box in the second half ndo nikasema huyu mtu na nusu.
Huyo alikuwa anamzibiti mbappe na speed zake vzr KabisaIle tackle kwa Zaha ndani ya box in the second half ndo nikasema huyu mtu na nusu.
Ningekuwa mm Neto hapana Ila YT yes1. "Tielemans is a very important deal and I think you will see him coming. I'm confident about that"
2. Neto is a possibility and Mendes mostly will be involved in winger signing
(@iemadAFC via @egygoonerpod)
Mtamkataa huyo siku moja, magwaya wa Arsenal.I'm not surprised by William Saliba performance by the way, Saliba is really gem toka France league one, he defend very well against Mbappe, Mess, Wissam Ben Yedder, Jonathan David & Martin Terrier.
Anaendelea alipoishia tuu msimu uliopita.
View attachment 2317935View attachment 2317936