Arsenal (The Gunners) | Special Thread

“We can't assure everyone that he will be regular but he will have many minutes to play” Arteta

Huyu dogo atacheza utamuona ni mtu akiwa kaitaka game.

Ile tuzo ya MVP ufaransa Hajapewa Bure mbele ya Tchoumeni,Nuno Mendes ,Hugo Ekitike nk 😂

Yes twendelee kuona ujue Saliba aliyecheza game ya PSG×2 Monaco 2 na Lyon 1 alikuwa mtu hatari sana hizi games ndo zimemsaidia yeye kuwa national team coz alikuwa mtu katili Sana...lkn baadae akaswitch off akawa anakanyaga kwenye level nzuri kama wenzake.

Kwa game nlizotaja apo juu zilizompa sifa sana Saliba akiweza kucheza hivyo for half of season hakuna beki Arsenal anaweza kumweka Saliba nje....lkn Saliba akiwa kwenye siku za kawaida kama yule mliyemuona national team huyu anakaa nje mbele ya White
 

Attachments

  • IMG_20220717_094231.jpg
    149 KB · Views: 16
Narudia tena
Kwani saliba na white hawezi kumaliza pale nyuma?

Mimi naona kama inawezekana hivi

Kuhusu ukuta pale nyuma sina wasiwasi hata kidogo

Tena wajinga wajinga kama nyumbu sioni kama watapitisha mpira umfikie kipa
Chelshit watapaki sana bus msimu huu
 
Ongezeni juhudi mtetee nafasi yenu ya saba
 
Vp kuhusu Golia, Matt Turner unamuonaje.
 
Good, mnavyoshambulia jukwaa kwa comments zenu, naona faraja. Muendelee kuwepo jukwaaani wakati wa raha na karaha
 
Stop being restive, I have been told by an impeccable source that Zinchenko move to Arsenal is imminent.
 
Usajili wa Moussa Diaby + Paqueta/ Tielemans unatupeleka kwenye title runs to compete with City, Liverpool & Spurs, few will agree.
Msimu uliopita Ni mancity na Liverpool nadhan ndio walituzid mech nyingi za kushinda


Mech za sare ,sababu ya majeruhi, Partey na Tierney , red card za Xhaka ,ndio factors kubwa zilitutofautisha na Liverpool na city

Msimu huu Arteta na edu wanazifanyia kaz hizo factors ku close the gap kati yetu na hao wawili.

Spurs anasajiri Sana ila ana Moira mmoja TU wa kaunta

Spursy Kuna game anakamatwa kabisa ila anapata matokeo ya ujanja ujanja Sana

Conte atambue epl ya Sasa HAITAKI ujanja ujanja ,

Anamfukuza Reguilon ili amtumie Perisic MWENYE miaka 30+ Kama wingback
 
Usajili wa Moussa Diaby + Paqueta/ Tielemans unatupeleka kwenye title runs to compete with City, Liverpool & Spurs, few will agree.
City na Liverpool tu

Spurs mgonjwa wa kichaa, huwa hawaponi wanapata unafuu tu

Nashukuru kwa kutowaweka wapuuzi wawili hapo kwenye list
 
🚨🚨Zinchenko is just waiting for the green light to complete his move to Arsenal & join up with his new teammates in USA

[@SunMartinB] - reliable for Manchester City
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…