hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,406
- 26,962
“We can't assure everyone that he will be regular but he will have many minutes to play” Arteta
Huyu dogo atacheza utamuona ni mtu akiwa kaitaka game.
Ile tuzo ya MVP ufaransa Hajapewa Bure mbele ya Tchoumeni,Nuno Mendes ,Hugo Ekitike nk 😂
Yes twendelee kuona ujue Saliba aliyecheza game ya PSG×2 Monaco 2 na Lyon 1 alikuwa mtu hatari sana hizi games ndo zimemsaidia yeye kuwa national team coz alikuwa mtu katili Sana...lkn baadae akaswitch off akawa anakanyaga kwenye level nzuri kama wenzake.
Kwa game nlizotaja apo juu zilizompa sifa sana Saliba akiweza kucheza hivyo for half of season hakuna beki Arsenal anaweza kumweka Saliba nje....lkn Saliba akiwa kwenye siku za kawaida kama yule mliyemuona national team huyu anakaa nje mbele ya White
Huyu dogo atacheza utamuona ni mtu akiwa kaitaka game.
Ile tuzo ya MVP ufaransa Hajapewa Bure mbele ya Tchoumeni,Nuno Mendes ,Hugo Ekitike nk 😂
Yes twendelee kuona ujue Saliba aliyecheza game ya PSG×2 Monaco 2 na Lyon 1 alikuwa mtu hatari sana hizi games ndo zimemsaidia yeye kuwa national team coz alikuwa mtu katili Sana...lkn baadae akaswitch off akawa anakanyaga kwenye level nzuri kama wenzake.
Kwa game nlizotaja apo juu zilizompa sifa sana Saliba akiweza kucheza hivyo for half of season hakuna beki Arsenal anaweza kumweka Saliba nje....lkn Saliba akiwa kwenye siku za kawaida kama yule mliyemuona national team huyu anakaa nje mbele ya White