Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna chemistry inahitajika to win the league than the names of players. Philips mwenyewe pancha, I doubt if he will feature in the first XI of man city. Cucurella namkubsli sana, nimesikitika he was available for cheap na timu yangu haijamchukua.
We unaona City wanakosa Chemistry? Hata Fernandinho alikuwa pancha.
 
Wakati mwingine mkuu uwa una overheat, not sure if you are serious with this comment.
Tatizo hujanielewa, kwa sajili hizi zikifanikiwa zitatupa 10+ more points nxt season, kumbuka msimu huu tumepata almost point 70. 2023/24 Arsenal itastrength tena kuongeza margin, so bingwa hatofika point 90+ kama sasa, Kama Arsenal atakuwa na uhakika wa point 80+ na ubingwa unahitaji point 80+, so inamzuia vipi Arsenal kuwa kwenye title push?
 
kwa arsenal nayoijua mimi hata nafasi ya pili hamtamaliza.
Ally we unazungumzia nafasi ya pili wakati wenzako wanapiga hesabu wasikose Europa tena msimu ujao?
Kwa hii miaka 4 ijayo usiihesabie kabisa hii Academy kwenye mbio za top 4, watashiriki CL miaka 4 mbele baada ya watoto wao kukomaa vizuri na endapo hawatauzwa kwa kipindi hicho.
 
Mkuu unaifatilia arsenal kuliko unavyoifatilia man u

leo nimeamini We all born to be the GUNNERS
Bangi tu ndio imetutenganisha
Jamaa anafanana kila kitu na Manara, yupo Yanga ila anaongoza Kwa kuiongelea Simba, kwenye kila maneno 10 basi Simba imetajwa mara 7

Sasa ni Sawa na ndugu yetu huyu, utadhani kwenye jukwaa lao kuna harufu mbaya, maana hakai kule akatulia ni lazima tu utamkuta huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…