...Kama Man city watamsajili kalvin Phillips & cucurela, the probability of winning the league next season is so high.
guys nawakumbusha tu mchezaji aliyetangazwa rasmi ni maquinhos,tusijipe matumaini wala furaha baaadae tukaishia kuomboleza.arsenal ni bingwa wa tetesi na uncomfirmed signing.mchezaji kama hujaona amefanyiwa vipimo na kutangazwa huyo achana nae maana waweza jikuta unaacha kuingia humu.hii timu ni mabingwa wa kunagotiate lakini mwisho rivals huwa wanachukua kiulaini.Kwa sajili hizi arsenal wanakwenda kuimarika..
Mwenye link ya kundi whatsApp la arsenal family naiomba hiyo link nijiunge kundini.
guys nawakumbusha tu mchezaji aliyetangazwa rasmi ni maquinhos,tusijipe matumaini wala furaha baaadae tukaishia kuomboleza.arsenal ni bingwa wa tetesi na uncomfirmed signing.mchezaji kama hujaona amefanyiwa vipimo na kutangazwa huyo achana nae maana waweza jikuta unaacha kuingia humu.hii timu ni mabingwa wa kunagotiate lakini mwisho rivals huwa wanachukua kiulaini.
relaax subir official breaking news
guys nawakumbusha tu mchezaji aliyetangazwa rasmi ni maquinhos,tusijipe matumaini wala furaha baaadae tukaishia kuomboleza.arsenal ni bingwa wa tetesi na uncomfirmed signing.mchezaji kama hujaona amefanyiwa vipimo na kutangazwa huyo achana nae maana waweza jikuta unaacha kuingia humu.hii timu ni mabingwa wa kunagotiate lakini mwisho rivals huwa wanachukua kiulaini.
relaax subir official breaking news
PORTO WAMESHATHIBITISHA ,WEWE BADO HUAMINI TU?guys nawakumbusha tu mchezaji aliyetangazwa rasmi ni maquinhos,tusijipe matumaini wala furaha baaadae tukaishia kuomboleza.arsenal ni bingwa wa tetesi na uncomfirmed signing.mchezaji kama hujaona amefanyiwa vipimo na kutangazwa huyo achana nae maana waweza jikuta unaacha kuingia humu.hii timu ni mabingwa wa kunagotiate lakini mwisho rivals huwa wanachukua kiulaini.
relaax subir official breaking news
Anapaniki nini sasa Legend?Nketiah sio forward wa uhakika kwenye EPL inategemea ameamkaje na huo ndio ukweli otherwise anamtetea Nketiah kumlinda sababu yeye ni Legend but ukweli anaujua moyoni mwake anazuga tu hapo mfuatilie kwenye uchambuzi wake sometimes anavyochambua players wetu huyo Fan yupo sahihi kwa mtazamo wake na ninampa support alitakiwa achape lapa na Laca this season tatizo linakuja Arsenal hana ubavu wa kusajili forwards wawili sababu ya ubahili then wameona Nketiah abaki licha fans wengi wa Arsenal wanajua uwezo wa Nketiah sio wa kuchezea Arsenal kama inataka achievements ambazo daily tunazisemaLove you @IanWright0. Some people simply don't deserve to be Arsenal fans