Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii TIMU inastahili kuwa zaidi ya hapa ilipo ila imerudishwa nyuma kwa nidhamu za wachezaji.

Haiwezekani Timu ikawa wachezaji wanakula Umeme for fun then wanaangaliwa tu.

Moja kati ya Work Plan za Arteta next season iwe ni Discipline vinginevyo Red Cards zitaendelea kwenye Must Win games.
 
Nilishawaambia tokea mwanzo na leo nawakumbusha tena.
Katika mechi zenu 3 za mwisho wa ligi mkijitahidi sana mtapata point 2 au 3 ila kuna uwezekano mkubwa mkaambulia point 1.
 
Yes we need to win those 2 games ila kesho tusipopata 3 points itakuwa it's over
Nilishawaambia tokea mwanzo na leo nawakumbusha tena.
Katika mechi zenu 3 za mwisho wa ligi mkijitahidi sana mtapata point 2 au 3 ila kuna uwezekano mkubwa mkaambulia point 1.
 
Nilishawaambia tokea mwanzo na leo nawakumbusha tena.
Katika mechi zenu 3 za mwisho wa ligi mkijitahidi sana mtapata point 2 au 3 ila kuna uwezekano mkubwa mkaambulia point 1.
Huna jipya wewe, unachange team kila siku, ulianza tangu kwenye game ya Man u, Chelsea,westham,Leeds na saiz unaendelea Kwa team zilizobakia

Na ratiba tena ya msimu ujao ikitoka natumai utaendelea tena na huu utabiri wako na utaendelea kupunguza na kuongeza team hivi hivi
 
🚨 Arsenal want to arrange a swap deal involving Pablo Mari 🇪🇸 and Udinese's Nahuel Molina 🇦🇷. Arsenal will happily let Mari go on a permanent deal if they can have Molina in return, but the 24yo is currently valued at around £25M. #AFC #Udinese

He's got balance and stamina as Tomiyasu.. And lots of power on his foot more than any Arsenal player at the moment.

We don't even need the cash added, a straight swap deal. The boy is another Cancelo. He's too good to be a RB.

Nahuel Molina has scored seven goals and given one assist.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…