Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal inakaribia kukamilisha uhamisho wa £40m wa kiungo mbelgiji wa Leicester Youri Tielemans lakini Real Madrid wako mguu sawa kumsajili nyota huyo mwenye miaka 25 kama 'the Gunners watashindwa kufuzu michuano ya Ulaya.

Aje tu tunaitaji rotation kwa wachezaji wetu tena wawe kwenye kiwango bora wote
 
Five players under the age of 23 have all registered at least 10 goals & assists for Arsenal this season: Bukayo Saka (20), Emile Smith Rowe (21), Martin Ødegaard (23), Gabriel Martinelli (20), Eddie Nketiah (22).

We can rely on the kids after all… the future is bright…💫 #afc

 
Kwanza nguvu za ku comment unapata wapi , una GD 1🤣🤣



 
Huyu mwamba karudi Hakuna kinachoharibika

As LB kakichafua vzr tu,

Anakichafua LB,RB,CB,n.k

 
Kwa masikitiko makubwa nikwambie
Bukayo Saka na Gabriel Martinelli msimu ujao wanaenda Newcastle,
Emile Rowe na Ødegaard nao kuna club zinazojielewa tayari zimeshatenga fungu nono nyinyi mtabaki na Nketiah aendelee kupata uzoefu kwenye hio Academy yenu.
 
Arséne Wenger on Mo Elneny in 2016: “In every successful team, you need a silent leader. When I say a silent leader, I mean somebody who doesn’t talk to the media, who doesn’t get headlines, but on the pitch does everything that is helpful for the team.”
Arséne knew. 🇪🇬

 

 
Manjesta sijui wanapata wapi muda wa kukaa mtandaoni
 
Ndio maana nikakwambia timu lenu linatambulika kama Academy sport club.
Huwa mnapewa hawa watoto muwakuze halafu wakishakomaa wanasajiliwa kwenye football club.
Ulaya nzima inaitambua Arsenal kama mlezi wa wana, nyie ni mama zetu tunawasifu kwa malezi bora ila mtoto akishakua mkubwa hana budi kumuacha mama na kwenda kutafuta maisha.
Mama ni mama tunawasifu kwa kua nyinyi ni mama bora.
 
Hamna uweza wa kumfunga spurs nyinyi narudia tena huenda hamjasikia vizuri uwezo wa kumfunga spurs hamna, sijui mmenielewa lakin?
Kama nyie huo uwezo hamna usitusemee, na akipigwa uwepo uwepo hapa hapa sio unapotea Alhamis sio mbali, atakayekuelewa ni yule aliyevimbiwa kiporo, kwa anayekua anasubiri Alhamis ifke dk 90 ziamue
 
Tomiyasu for me is quite clear as Arsenal’s best defender. Doesn’t lose any duels, fantastic in the air and is key to build up cos of his ambidexterity. Great example of good scouting
 
Njia nzuri zaidi ni kumfunga spurs, sio kukaa kaa na presha.
 
Arsenal inakaribia kukamilisha uhamisho wa £40m wa kiungo mbelgiji wa Leicester Youri Tielemans lakini Real Madrid wako mguu sawa kumsajili nyota huyo mwenye miaka 25 kama 'the Gunners watashindwa kufuzu michuano ya Ulaya.
Kama tielemans anakuja akichezq na partey hapo kati si mchezo..

Yule bwana mdogo kwa mara ya kwanza namuona yupo anderletch wanakipuga na man u, aisee aliupiga mwingi ningekuwa nina nguvu sehemu ningemsajili msimu ule ule, sijui maskaut wakati mwingine wanafeli wapi, nina tabia ya kumona player na kujua ni mchezaji mzuri..

Nakumbuka kuna msimu sikumbuki mwaka gani, nilimuona diego milito pale real zaragoza kama sikosei, nikamuelewa saana, kwa mapenzi yangu mazito kwa arsenal nikajaribu kutuma mpaka email kwa arsenal
, nikabuni mpaka email ya wenger nikamtumia amsajili
baada ya miaka kadhaa akafanya matusi na intermilan.
 
Game na spurs tunamuitaji white kwa ajiri ya kuwa na chumba kingine cha kuanzisha mashambulizi holding wakiwa na Gabdiel wanauwezo mdogo sana wakuanzisha mashambulizi na accuracy pass zao sio kwa aslmia 100 ni aslmia 60-70 tu
Upo sahihi. Kati ya Holding na Gabriel hakuna wa kugawa mipira kama White, Gabriel anajitahidi katika hilo ila shida ni kwamba yeye ni left footer, mara nyingi left footers hua hawawezi kugawa mipira kama right footers.
 
Hamna uweza wa kumfunga spurs nyinyi narudia tena huenda hamjasikia vizuri uwezo wa kumfunga spurs hamna, sijui mmenielewa lakin?
Hizi chapati ndiyo hua nasema hazina kumbukumbu.

Sasa huyo spurs alivyofungwa 3 Emirates alifungwa na nani? KMKM au?
 
CEO alisema tulipo sasa hivi sipo bodi ilipotarajia tungekua, waliwish tuwe kwenye nafasi ya 5 au 6, kikosi chini ya Arteta kimeenda extra mile.

This means bodi inatakiwa ikae chini na kutathmini ikiwa kikosi kilichopo kinatosha kucheza CL. Mimi naona hiki kikosi hakitoshi kucheza EPL, Carabao na FA hivyo kukipa na mzigo wa CL ni kushuhudia aibu.

Kwakua haiwezekani kununua wachezaji 10 ghafla hii inamaanisha usajili wa kutanua kikosi utaanza taratibu, hii ni kusema kwamba documentary ya 'All or Nothing' itakua moto lakini tusiwe na matumaini ya kua dominant mwakani.

Pengine kuanzia msimu wa 24/25 tunaweza pambania CL kwa nguvu zote but what do I know? Arteta anajua zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…