Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kama tunahitaji ku move on , Eddie aende tu, zile nafas anabak na zuma , mtu Kama Gabriel Jesus hakuachiEddie Nketiah anazidi kuwa bora, Eddie Jana Eddie alionesha uwezo mkubwa sana na anajenga kujiamini now, nilipenda anavyodrop kwenye build up phases analink na kuhold play vizuri ila problem anakosa technical security akicheza pass zake na anakosa ball striking nzuri, physically yupo vizuri sana coz unamuona anapress reliably na anawin duels mbele ya Zuma, the boy deserves new contract.
Nikweli ndio kinachomuweka bench ,Aliongea na media , Arteta akamwambia anashindwa kufocus na team analeta maneno ,Unpopular opinion; Interview aliyofanya Lacazette imemuharibia mahusiano yake na Technical bench, kwa hali ilivyo sasa hakutakiwa kukaa bench, No matter what!
Nakubali, baadhi ya wachezaji wapo nyuma ya project. Eddie akienda Palace/ Brighton anaweza kuwa mkubwa coz kuna makocha wazuri kwenye hizi timu.Kama tunahitaji ku move on , Eddie aende tu, zile nafas anabak na zuma , mtu Kama Gabriel Jesus hakuachi
Naiman Arteta hawez kuendelea naee msimu ujao ,
Arteta mjanja, kuna wachezaji kawaondoa sababu ni toxic, wengine sababu za kiufundi, ila kuna watu kawaondoa sababu walikuwa na nguvu kuliko yeye hapa namuweka Auba. kocha ili ufanikiwe unahitaji kusikilizwa kuliko mtu yoyote, kama Barcelona kumuondoa Messi baadae wakamleta Xavi ili awafundishe Pedri, Gavi & Puig.Nikweli ndio kinachomuweka bench ,Aliongea na media , Arteta akamwambia anashindwa kufocus na team analeta maneno ,
Ila Pep ana misimamo , ila naanza kuona Arteta kazid , hajali atapoteza mech au vipi , ukizingua unakula mkeka wa maana
Ujue hata gemu na Chelsea Laca alikuwa fit ila Arteta hakujali akaanza na nketiah ,
Arteta ana roho Ngumu sana huyu mtu,
Ila jamaa jasiri sana , huwa hajari kapoteza , hataki kwenye timu wewe ndio uwe na nguvu kuliko wewe, anataka respect ,na kujitoa asilimia zoteArteta mjanja, kuna wachezaji kawaondoa sababu ni toxic, wengine sababu za kiufundi, ila kuna watu kawaondoa sababu walikuwa na nguvu kuliko yeye hapa namuweka Auba. kocha ili ufanikiwe unahitaji kusikilizwa kuliko mtu yoyote, kama Barcelona kumuondoa Messi baadae wakamleta Xavi ili awafundishe Pedri, Gavi & Puig.
Eddie Nketiah anazidi kuwa bora, Eddie Jana Eddie alionesha uwezo mkubwa sana na anajenga kujiamini now, nilipenda anavyodrop kwenye build up phases analink na kuhold play vizuri ila problem anakosa technical security akicheza pass zake na anakosa ball striking nzuri, physically yupo vizuri sana coz unamuona anapress reliably na anawin duels mbele ya Zuma, the boy deserves new contract.Hap
Huyu jukwaa la liverpool wanadai anakwenda anfield🚨 || Arsenal and United are both heavily interested in signing Monaco Midfielder, Aurélien Tchouaméni. The player would be interested in playing in the Premier League [Via - @DiMarzio].
Huyu dogo hapana mkuu. Acha aende tuEddie Nketiah anazidi kuwa bora, Eddie Jana Eddie alionesha uwezo mkubwa sana na anajenga kujiamini now, nilipenda anavyodrop kwenye build up phases analink na kuhold play vizuri ila problem anakosa technical security akicheza pass zake na anakosa ball striking nzuri, physically yupo vizuri sana coz unamuona anapress reliably na anawin duels mbele ya Zuma, the boy deserves new contract.
Yah Liverpool wapo front-runner kwenye dili la huyu mtoto ,Huyu jukwaa la liverpool wanadai anakwenda anfield
Huyo aende tu kwakweli, mm bado naona hatoshi , Jana angekuwa na akili ya kucut in au skills angemlaza na viatu yule Zuma,Huyu dogo hapana mkuu. Acha aende tu
kwa hiyo tuachane nae maana hatuwezi kushindana na hawa kuku kwenye usajili kwa sasa. Tutafute cazorla flani south america hukoYah Liverpool wapo front-runner kwenye dili la huyu mtoto ,
Hapana inategemea na vitu ving kwenye usajiri, Kuna kuhakikishiwa nafas, mshahara , n.kkwa hiyo tuachane nae maana hatuwezi kushindana na hawa kuku kwenye usajili kwa sasa. Tutafute cazorla flani south america huko
Niliikosa hii mkuu. Laca aliongea na nani akasema nini? Aaron saidia hapa pia kujazia nyama.Unpopular opinion; Interview aliyofanya Lacazette imemuharibia mahusiano yake na Technical bench, kwa hali ilivyo sasa hakutakiwa kukaa bench, No matter what!
Huyu dogo Arsenal wasije wakajidanganya wakampa mkataba mpya , kwasasa timu inatakiwa isukwe na watu wapambanaji ,Kama Odegaard vile,Huyu dogo hapana mkuu. Acha aende tu