Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Leeds mlaini tu mbona , anaacha magepu sana ,Mpira anaoupiga Leeds dhidi ya City, naogopa kusema kama tutaweza kupata point tukicheza nao.
City anapigiwa pressing mpaka haelewi anabutua butua tu. Wachezaji wa Leeds ni kama cherehani vile walivyochangamka.
Sitoshangaa City akisuluhu au akipoteza hii mechi japo anaongoza.
Jesus anazid kuwaka tu, huenda bei yake ikapanda , hii form aliyonayo Ni hatari
Mtoto anajua kufinish sana huyu
Huenda Pep akambakisha au Bei ikapanda had €50m
Alibakwa nne kavu.Mpira anaoupiga Leeds dhidi ya City, naogopa kusema kama tutaweza kupata point tukicheza nao.
City anapigiwa pressing mpaka haelewi anabutua butua tu. Wachezaji wa Leeds ni kama cherehani vile walivyochangamka.
Sitoshangaa City akisuluhu au akipoteza hii mechi japo anaongoza.
Sikweli , zinaenda timu zote 5, imeshatokea hivo mara nyingi mbona ,Hivyo timu ya nafasi ya nne (kwa sasa Arsenal) itabidi iende Europa kumpisha Westham UCL.
Amesema Atafanya rotation kubwa, Kuna dogo atacheza beki leo anaitwa AliseWestham tunakutana nao leo kama kocha wao ni Carlo ataamua kufocus na game ya Alhamis anaweza pumzisha baadhi ya wachezaji haswa kwa madai ya kua ana majeruhi CB ili akashinde game dhidi ya Frankfurt. Ama la atakuja kama alivyo Trophy be damned.
Siku hizi ipo hivyo?Sikweli , zinaenda timu zote 5, imeshatokea hivo mara nyingi mbona ,
Msimu uliopita Villarreal amemaliza nafas ya 7 , kabeba Europa , zimeenda timu 5 Atletico Madrid, Real Madrid, Barcelona, Sevilla. Na Villarreal mwenyewe
Mabeki wetu wajikaze. Conceded goals na penati against chelsea na united were sloppy against opponent kama westham akikufunga anakuchezea low blockAmesema Atafanya rotation kubwa, Kuna dogo atacheza beki leo anaitwa Alise
Waache tu wachukue europa. Sisi tupambanie 3 au 4. Nakumbuka kuna msimu chelsea alishinda ucl lakini nyumbani alikuwa wa 5 hivi akamtoa spurs aliyekuwa wa 4.Westham akichukua Europa automatically anaingia Uefa.
Hivyo timu ya nafasi ya nne (kwa sasa Arsenal) itabidi iende Europa kumpisha Westham UCL.
Kuepuka hili ni ama kupiga dua Westham asipige hatua kwenda final dhidi ya Frankfurt au akipiga asichukue kombe au Arsenal kujibana iende nafasi ya tatu.
Westham tunakutana nao leo kama kocha wao ni Carlo ataamua kufocus na game ya Alhamis anaweza pumzisha baadhi ya wachezaji haswa kwa madai ya kua ana majeruhi CB ili akashinde game dhidi ya Frankfurt. Ama la atakuja kama alivyo Trophy be damned.
Tavares ana pace ila haitumii kumsaidia kukaba yeye anaitumia kuestablish presence yake kwenye box la mpinzani.Tomiyasu Looks To Start, Odegaard In Midfield | 4-2-3-1 Arsenal Predicted Lineup Vs West Ham United
View attachment 2206878
Naona Aaron anasema mnaenda wote 5.Waache tu wachukue europa. Sisi tupambanie 3 au 4. Nakumbuka kuna msimu chelsea alishinda ucl lakini nyumbani alikuwa wa 5 hivi akamtoa spurs aliyekuwa wa 4.
Kwa arsenal nadhani wakimaliza top 4 tu wataona improvement ya misimu iliopita na kushindwa kuingia ucl on a technicality, west ham kushind europa, haitaua morale ya wachezaji na fans na wataimarika zaidi. With luck hata sisi next season tunaweza kushinda europa vile vile
Tavares ananikumbusha mimi enzi za shule nilikuwa nacheza 11. Kuna wakati kocha anamuweka mtu mwingine 11 afu mimi ananiweka 3. Aisee defence ilikuwa exposed balaa maana mie nilikuwa mzee wa kuoverlap na kucross kama roberto carlos ila tukipigwa counter kwishney.Tavares ana pace ila haitumii kumsaidia kukaba yeye anaitumia kuestablish presence yake kwenye box la mpinzani.
Halafu kinachomponza watu wa upande wake Xhaka na Emile wote hawana pace kwahiyo inakua ngumu kumzibia mapengo tukipigwa counter.Tavares ananikumbusha mimi enzi za shule nilikuwa nacheza 11. Kuna wakati kocha anamuweka mtu mwingine 11 afu mimi ananiweka 3. Aisee defence ilikuwa exposed balaa maana mie nilikuwa mzee wa kuoverlap na kucross kama roberto carlos ila tukipigwa counter kwishney.
Arteta juz kasema Tomiyasu anaweza pia kucheza LB ,hivo tusishangae Leo akaanza Kama LB maana tavares bado hajaimarika, dogo angekuwa Makin mech ya Chelsea angefunga, mech ya man u angetoka na goli 2Tavares ana pace ila haitumii kumsaidia kukaba yeye anaitumia kuestablish presence yake kwenye box la mpinzani.
Huyu naona tutamfaid tukicheza na mabeki watatu, Zaid ya mara 2 Arteta amekuwa akikasirrika anamtoa mapema , ilifika muda anaona Bora Xhaka acheze LB , kuliko Tavares, kuumia kwa Partey tu ndio kumempa ahuen dogo apate namba Tena , lasivyo niliona Arteta anaona Bora atembee na Xhaka Kama LBHalafu kinachomponza watu wa upande wake Xhaka na Emile wote hawana pace kwahiyo inakua ngumu kumzibia mapengo tukipigwa counter.
Walibadilisha hiyo sheria , hata mwaka ule Mourinho anachukua Europa na man u alimaliza wa 6 akaenda UCL , timu nne za juu zikaenda nazo ucl ,jumla 5,Siku hizi ipo hivyo?
Nakumbuka around 2019/ 20 kulikua na debate juu ya aliye nje ya top 4 epl akichukua europa