Arsenal (The Gunners) | Special Thread

PL chances created open play 2021-22

73 Bruno Fernandes
58 Mohamed Salah
52 Martin Ødegaard
52 Bukayo Saka
52 Kevin De Bruyne
52 Bernardo Silva
 
Arsenal are ready to listen to offers for Nicolas Pepe as they look to generate funds for signings this summer. The club are prepared to take a massive hit on the Ivorian international who cost Β£72m. [Mark Irwin]
 
hakuna aliyesema arteta anaugomvi na pepe. Nimesema anakuwa wasted hatumiwi vizuri.
 
understood. Implication ni kocha apate wachezaji wanaofit mfumo wake tu basi. Akirithi wachezaji basi anabidi asubiri mpaka anunue wanaomfaa. Nilimnukuu kuwa pep alisema hivyo. Then sawa. Niite poor management pamoja kuwa naelewa modern top tier football haina muda na less than perfect . Ukweli ndo huo
 
Implication ni we need better finishers. Kutoka nje ya timu na walio ndani. Kama tuna set piece coach, sasa tuajiri finishing specialist kuanzia preseason?
PL chances created open play 2021-22

73 Bruno Fernandes
58 Mohamed Salah
52 Martin Ødegaard
52 Bukayo Saka
52 Kevin De Bruyne
52 Bernardo Silva
 
Update from @jorgenicola

.. The club closest to closing the Jesus deal is Arsenal.. There are no talks with Barcelona at all.. The player's agent is the one who leads all the details between all parties in this deal.. Manchester City will ask for at least 30 million euros..
 
Previous Jesus’ statement about Arteta after his appointment as Arsenal coach ..

"He helped a lot of players.. When I want to train to finish after training, I tell him and he comes and helps me." "So he's really great for us. Everyone knows that at the club. He's a great guy and coach."


 
.
@David_Ornstein

: β€œA central midfielder has been on the agenda for quite some while. The sort of #6/#8, maybe someone who can operate in both roles. There’s been links & admiration for Ruben Neves, Youri Tielemans & a number of others.”
@TheAthleticUK


 
.@David_Ornstein on Jesus:

β€œThere has been no contact, to my knowledge, so far between the clubs, that’s obviously a significant step that would need to be taken. The early indications are that this is a move Jesus would be open to. As things stand, Arsenal are the favourites.”

β€œHe is the profile of striker that Mikel Arteta is looking to bring in - I think they want to bring in two forwards. The current expectation is that they won’t [renew, Lacazette & Nketiah], so that’s why the idea of two forwards has come about.”

 
.@David_Ornstein:

β€œIn terms of elsewhere, it will depend on movements out. Will they need to bring in full-back cover for Tomiyasu? Will they look to bring in a wide forward, which was on the agenda a while ago, somebody that can position themselves on the left & cut in.”
 
.@David_Ornstein on Jesus:


β€œMikel Arteta knows him well from working at City. Edu knows him well & is close to his representatives - I understand they have been talking for a number of months about this possibility, to the extent that that part of negotiations is done & dusted.”
 
Saliba hayupo kwenye plans.

Na taarifa zinasema ikija ofa nzuri anaachiwa
 
Mpaka sasa hivi ni kwamba Arsenal tutakutana na westham huku ikiwa haina mabeki wake wanne wapo waliosimamishwa na wapo majeruhi.
 
Jesus ana traits za kua ST mzuri lakini haperform vizuri pale City kuna haja ya kujicommit kwake kiasi cha kutoa pesa nyingi hivyo?

Pia hii inamaanisha Nunez hatuna uwezo wa kumpata au la zilizokua reported ni rumours tu zisizo na ukweli.

Nikasikia tunamtaka Paqueta ila ana price tag ya 80M na Newcastle wanamtaka pia huyu jamaa.

Edu anakwambia tunahitaji mchezaji mmoja au wawili huu ni uchizi ukizingatia tunahitaji experienced signings angalau 4 kisha zije back up 2 au 3. Lakini jamaa anakuambia ". . . mchezaji 1 au 2"

Timu kama Salzburg, Leipzig, Frankfurt, Lyon, Ajax haziwezi kukosa mchezaji atakayekufaa.
 

Kuna dogo mmoja yupo Leipzig, anajua nyavu zilipo: Christopher Nkunku
 
Kuna dogo mmoja yupo Leipzig, anajua nyavu zilipo: Christopher Nkunku
Unaachana na Nkunku unaenda kwa Jesus Recruitment ya Arsenal ina big problem kwa kweli that's why wachezaji wengi wananunuliwa but performance zero au unakuta wengi wanakuwa majeruhi majeruhi mechi 3 atacheza mechi 3 hospital
anatibiwa Tierney Partey hawa ni players wazuri sana but wanaicost sana team hawawezi cheza 10 games mfululizo bila kwenda hospital
na Tomiyasu napata nae shaka pia anaweza akajiunga na hawa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…