Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I like your English, keep it up utatoboa
Mimi English sijui. Kuhusu kutoboa hiyo ni case nyingine Mkuu,
Kama umetoboa kwa kujua English keep it up! Au kama unadhani kujua English ndo kutoboa ni mtazamano mzuri pia.
 
Sawa.Ngoja tushabikie Arsenal.Vikombe sisi kwetu siyo inshu.Ni mwendo wa burudani.

Coyg
 
Exactly,Trophies and Medals are just bonuses for my team
Hapa ulichokiandika ni either umemjibu mdau hapo ukiwa na hasira but kwa Big teams zote duniani Trophies
ndio achievement may be ni mawazo yako ila sio ya Arsenal na Management yake na 90 % fans around the world
wa Arsenal wala ya Arteta
 
Mimi English sijui. Kuhusu kutoboa hiyo ni case nyingine Mkuu,
Kama umetoboa kwa kujua English keep it up! Au kama unadhani kujua English ndo kutoboa ni mtazamano mzuri pia.
caught me wrong young boy, kutoboa I meant to master the language
 
Fact kabsa
 
All we do is trusting our process, trusting our coach and trusting our own team management..........and not complaining about everything facing our team
 
All we do is trusting our process, trusting our coach and trusting our own team management..........and not complaining about everything facing our team
Mambo ya kutrust process yataeleweka kama Arsenal atafuzu champions league this season kwa nafasi aliyopo hadi sasa ya TOP 4 kutokana na rivals wake kudondosha points na Arsenal kumaintain status yake kwa sasa
 
Wanamwitaga ARV ni united fan mwenye ngozi ya Gooner
Sisi wengine ni Die hard fans wa Arsenal ila haturembi rembi na kusifia ujinga ujinga ,we speak FACTS that's why unatuona maadui hakuna namna inabidi ukubaliane kutokukubaliana bro
 
Sisi wengine ni Die hard fans wa Arsenal ila haturembi rembi na kusifia ujinga ujinga ,we speak FACTS that's why unatuona maadui hakuna namna inabidi ukubaliane kutokukubaliana bro
computerarsenal mi nilishakwambia siku nyingi kwa ukubwa wa IQ yako wewe sio wa kuishabikia Arsenal, mashabiki wa arsenal wengi akili zao ziko below average lazima tu watakuona wewe kua sio wao.
Haya hawa hapo tayari wameshaanza kukutoa kwenye chama kisa kuwaeleza ukweli ya kwamba hakuna timu kubwa yoyote duniani isiyokua na malengo ya kubeba makombe.
Hebu jitafakari upya hapo ulipo sio sehemu sahihi kwa kiwango kikubwa cha akili ulichojaaliwa.

Mpaka member wenzako wanakuambia hivi :-

"computerarsenal nimegundua hii sio timu special kwa ajili yako,unajiumiuza tu mkuu"

Tafakari mkuu
Chukua hatua, achana na hao jamaa wenye mtindio wa ubongo.
 
nyumbu pekee inayozagaa majukwaa ya wanaume
 

Lione hili li-idiot, linatafuta wachumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…