Game tukipoteza hii itakuwa Arsenal akikutana na Big giants anakuwa kibonde but game inaendelea may be Arsenal anaweza akapata point but ikiisha hivi itakuwa the same story Arsenal ni kibonde kwa giants
Liverpool katutoa Carabao Cup hapo hapo Emirates leo tena apate 3 points hapo hapo Emirates?basi hakuna namna ikibaki hivi hivi itakuwa sisi tumekuwa vibonde tupambane na wa size yetu
Castr, nadhani unaona kuna moments team inasit deep, unajua kwanini? Tunakosa athletes wakupress high reliably, ndio maana huwa nashangaa mtu akisema ni maelekezo ya kocha.