Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msurunje umebadili ID ya ComputerArsenal unaona aibu sasa. HAhahaha
 
Ni sahihi kua na aina ya beki kama Benn white kwenye eneo la ulinzi au anaitajika aina tofauti ya beki kama ilivyo kwa GM6
 
tunachotakiwa kujua amna mchezaji ambae uwa afanyi makosa cha muimu n ayo makosa kutojiludia mara kwa mara
 
Nolito & Bravo sio wachezaji wa Pep, Mendy kasumbuliwa na injury ila kashashinda Premier league in his first season with City, Rwkodi inaonesha Msimu wa 2018-19 aliweka Assist 5 kwenye mechi 10 kabla hajapata injury.
Nolito na bravo ni wachezaji wa nani Mkuu? Nani aliwanunua pale City
 
Msurunje umebadili ID ya ComputerArsenal unaona aibu sasa. HAhahaha
Mkuu sihusiani na hiyo id! Mpira nauchukulia katika uhalisia sana mkuu ukiondoa mifumo ya walimu. Na hakuna position ya ninaijua zaidi kwenye mpira km beki maana sikufanikiwa tu kucheza super league. Kwahiyo pamoja na hii modern football beki mzuri anaangaliwa kwa namna anavyofanya marking yan anamuingiaje mtu kumnyang'anya mpira na anazibaje nafasi ya mpinzani kupitisha mpira. Unachotaka Gabriel akifanye kinafanywa na White. Mkuu narudia tena huwezi kuwa na 4 na 5 wanaofanana uchezaji wakafanya vzr lkn kutakuwa na errors nyingi. Fuatilia uone mkuu
 
Nakazia
 
Mkuu Sina haja ya kufatilia maana mie ndivyo nijuavyo kuwa pep kawanunua hao wachezazi first window yake na wakawa flop ndomana nikaku quote

ila nimeshangaa unaposema kuwa Nolito na bravo sio wachezaji wa pep kwahiyo inawezekana ni kweli me sijui ila inabidi wewe ndio unijuze nani aliwanunua kama sio Pep?
 
tunachotakiwa kujua amna mchezaji ambae uwa afanyi makosa cha muimu n ayo makosa kutojiludia mara kwa mara
Na ndio maana Arsenal is not Man city, to be like pep's team you need to decide like Computer algorithm. To beat a Pep's team you need to be like them.

Ukileta mazoea utaumia, we need Gabriel to be like Diaz / Van dijk

We always need Partey to be like Rodrigo Hernandez/ Fernandinho / Fabinho na tunajua wazi Partey anapotential ya kuwa a better version of a Holding midfielder than
 
Sawa
 
Hivi kolidou Coulibaly mna muhesabu vipi kama miongoni mwa mabeki bora duniani?

Kwangu namuona ni beki mzito sana.

Napoli ikiwa inakabia kwenye high line ndio kabisa.
 
Hivi kolidou Coulibaly mna muhesabu vipi kama miongoni mwa mabeki bora duniani?

Kwangu namuona ni beki mzito sana.

Napoli ikiwa inakabia kwenye high line ndio kabisa.
He is good, huoni Xavi anamuhitaji, ni wazi anaona atawapa quality ya Van dijk.
 
Mbona nimekuambia Silva na Luiz walikua pamoja PSG?

Magalhaes siyo ball playing ndiyo maana kaja White.

Katika games alizocheza Magalhaes ngapi ametupotezea points na ngapi ametushindia points?

Aguero alitoka ATM akiwa tegemezi na City akaoffer alichooffer ATM. Grealish hakua bora, alikua overrated. Mahrez ndiye alikua bora alipotoka na anaoffer same qyality from time to time.

Hoja ya roles kupungua haimake sense. As in ulikua unatoa assissts ukiwa Villa umefika City role ya assissts inakufa?

Nimetaja majina ya flops za Pep za haraka haraka. Bado unasema hajawahi sajili flop?
 
Shida yako mkuu unapenda tubishane kuhusu ideas zako kuliko Facts.

Tulishabishana mambo mengi, mfano suala la Leno ulinibishia sana kwamba Arsenal haina tatizo la golikipa na naweza kutafuta comment kuonesha kuwa niliandika Arsenal tunahitaji Gk mzuri kwenye build up before hata Ramsdale kuja, nikaongea sn kuhusu ubovu wa Leno kwenye build up, ubovu wa distribution yake, na namna anavyotuzuia kuplay our own game lakini bado uligoma, so naelewa nachokisema. Tumebishana vitu vingi hadi vingine nimesahau.

Nilichojifunza kwenye Football kuna vitu huwezi kuviona kwa macho ya juu unahitaji kuelewa Structure za mpira kiundani kabla ya kuhoji kitu chochote kuhusu mpira, that's why kuna some arguments its better to keep quit maana ni kama unapoteza nguvu.

Unakuta mtu yupo kaskazini wewe upo mashariki unajiuliza hapa nareason kitu gani sasa kwenye fanbase ya aina hii, Maana hata utoe logic gani mtu hakuelewi, sio kosa lake ila ni sababu haelewi Fundamentals, Lakini nowadays nimejifunza kuheshimu maoni.
 
Huwa napendaga kuandika maoni kwa mtazamo wangu ila sio kuprove a point, maana huwezi kulazimisha kitu kikubalike kwa mtu na with time everything inakuwaga Ok, mtu kama kaamua kubisha atabisha tu hata utoe Logic za dunia yote.

Dale Carnegie anasema "you cant win an argument, the best way is to avoid it."
 
Haina noma bro siku nyingine.
 
Mkuu mbona unazunguka sana Kwani ukikubali tu Kuwa ulikosea kusema Nolito na bravo hawakununuliwa na pep utapungukiwa nini?

Na kama bado unakataa hawakununuliwa na pep basi naomba msaada wako unijuze nani aliwanunua?
 
Haina noma bro siku nyingine.
Sawa, i challenge you to learn more wala si vinginevyo, tukipunguza kuongea in a general overview tukaingia deep structurally itakuwa a big step ahead.
 
Mkuu mbona unazunguka sana Kwani ukikubali tu Kuwa ulikosea kusema Nolito na bravo hawakununuliwa na pep utapungukiwa nini?

Na kama bado unakataa hawakununuliwa na pep basi naomba msaada wako unijuze nani aliwanunua?
Nimekwambia sawa, au unatakaje tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…