Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Let's pray tupate kuingia Top 4 na kuplay Champions league hapa ndiyo Arsenal itakuwa bado ipo imara but otherwise Arsenal haitarudi tena katika ubora wake player gani tutampata wa maana wa quality sio quantity?Leno Laca Nketiah almost na wengine wanasepa this seasonKujifia?
Sio Majimaji ya Songea hiyo.
FACT ukiachana na Sanchez kwa miaka ya karibuni almost 6 years sikumbuki kama kuna players ambao wameondoka Arsenal wakaingizia pesa timu I don't know problem ipo wapiKama ilivyo kuwa ngumu kupata mchezaji mzur wakat wa January kwa Arsenal ndivyo ambavyo ingekuwa ngumu kuuza wachezaj hao ambao wameondoshwa kikosin..kwa Arsenal kuuza wachezaj wetu wabovu kwenye dirisha kubwa la usajili ingekuwa ngumu sana kumbuka wakat wa dilisha kubwa wachezaj wengi wazur wanauziKa na hapo soko la wachezaj wetu walioondoka wangekosa soko…KUANZA UPYA SIO MBAYA
Bro wachezaji gani wenye physicality kati ya hao uliowataja?In my opinion labda ni mmoja pekee au physicality unayoiongelea ni tofauti?for example umemtaja Tavares huyu keshawahi kufanyiwa substitution dk ya 29 na Arteta akawa anapayuka kwenye benchiArteta anaibadilisha timu kuondoa culture ya kusajili wachezaji soft wasioweza kuwin duels ( Ozil & Auba) anasajili wachezaji wenye Amazing physicality Tomiyasu, Gabriel, White, Partey, Tavares..
Ps: Auba & Ozil hawakuwa wachezaji wabaya, Arsenal imebadilika.
Igwe aliingiza 30+ move yake kwenda Everton.FACT ukiachana na Sanchez kwa miaka ya karibuni almost 6 years sikumbuki kama kuna players ambao wameondoka Arsenal wakaingizia pesa timu I don't know problem ipo wapi
Shida wewe mpira huelewi sijui, Tavares ni mental issue sio physical, Mchezaji anapokosa technical security ni mental zaidi.Bro wachezaji gani wenye physicality kati ya hao uliowataja?In my opinion labda ni mmoja pekee au physicality unayoiongelea ni tofauti?for example umemtaja Tavares huyu keshawahi kufanyiwa substitution dk ya 29 na Arteta akawa anapayuka kwenye benchi
Tatizo ni hapo kwa Tomiyasu, Tomiyasu na Cedric Soares ni mawingu na ardhi, No Tomiyasu no effective build up.Arteta akichanga karata zake vizuri top4 tunaingia
Hii kutokana Tupo EPL tu udogo wa kikosi lakini watu wa kazi tunao
. laca/Nketiah
Pepe/martinel. Rowe/odegard. Saka
Partey/Xhaka/mudy/lokonga
Tierney/Soares Gabriel, Holding White. Tomiyasu/Tavares
. Ramsdale/Leno
Kikosi hiki mimi naingia nacho top4
TRUEIgwe aliingiza 30+ move yake kwenda Everton.
Ok okShida wewe mpira huelewi sijui, Tavares ni mental issue sio physical, Mchezaji anapokosa technical security ni mental zaidi.
Huyu katoka ureno anahitaji muda, BTw he is 21.
Suala ni physicality + profile, hatuangalii misuli, ebu tafuta stats angalia ni duels ngapi Tomiyasu anawin compared to sead,Ok oktwo next seasons Mungu akitupa uhai ntarudi kukumbusha hakuna mpaka sasa player pekee I repeat pekee ambaye alikuwa physically kama Saed Kolasinac but after seasons kadhaa leo kaondoka bure let's wait and see kukumbusha ni muhimu
Matokeo yalikuaje kwenye hii mechi?Msijikaushe man utd tunacheza leo
Sead mzuri kama mnataka kucheza low block mkitaka game plan ya kupossess na akahitajika kuact kama attacking full back mnakua hamna ishuOk oktwo next seasons Mungu akitupa uhai ntarudi kukumbusha hakuna mpaka sasa player pekee I repeat pekee ambaye alikuwa physically kama Saed Kolasinac but after seasons kadhaa leo kaondoka bure let's wait and see kukumbusha ni muhimu
If no red card and Injury i will go for maximum point (18).Next six games:
Wolves (A)
Brentford (H)
Wolves (H)
Watford (A)
Leicester (H)
Villa (A)
How many points?
Hapo Points 18 zote mfukoniNext six games:
Wolves (A)
Brentford (H)
Wolves (H)
Watford (A)
Leicester (H)
Villa (A)
How many points?