Project inaweza kuwa sahihi na mwanga unaonekana, then anakuja Bwana Kipara (Pep) na project yake na pesa zake nani aende kwa Teta na Profile yake Ndogo.Locatelli the baller, huyu mtu angekubali paka sasa top four ingekuwa uhakika.
Kitu kingine kuhusu Vlahovic ni mzuri sana aerial, mfano game na Man city ...KT anapiga cross nzuri afu hakuna mtu wa kwenda aerial.
ST mfano wa lacca ni Toney, ingawa kwenye kufunga namba zinamkataa ila inaonekana Thomas Frank wants more of him rather than only scoring goals.sijui kwanini nimeanza kuingia wasiwasi na dusan, nikikumbuka yaliyomtokea pepe, dusan ameanza kuwika huu msimu wa pili,
kwa arsenal yetu hii ya vijana wengi inahitaji middle compact na ST mwenye link up play kariba ya lacazette,
Isak hua namuona tu ana mashuti lakini sioni skills na pace yake ni ya kawaida ila anaonekana physically yuko poa.Vlahovic anaturingia ringia tuhamie kwa Isak tu kwanza ni mzuri zaidi kwenye hold up play and with Odegaard and Saka atafunga sana...
isak hata kutokea pembeni anaweza, yupo vzr kwenye hold up na link up play, dusani typical ni NO.9 ,NI FINISHER zaidi, left footer,hawez kutokea pembeni, isak ni prime aubamayang kabisa, for me nilipowaangalia twende kwa isak,
Arsenal inakataliwa sababu haipo Europe only that, hayo mengine ni hypernegativity Mchezaji kasema juzi 'only God knows what will happen in the future' Vlahovic kagoma kuuzwa january, Arsenal wanataka kumsajili January.Project inaweza kuwa sahihi na mwanga unaonekana, then anakuja Bwana Kipara (Pep) na project yake na pesa zake nani aende kwa Teta na Profile yake Ndogo.
Wenger na SAF walikuwa na power sana kwenye kushawishi wachezaji. Walikuwa ni father figure kwa wachezaji wengi sana. Wengi walitakani kucheza chini ya Usimamizi na maelekezo yao.
If so mbona Wenger alistruggle sana kusecure baadhi ya signings? Mpira wa sasa naona pesa sana, Wenger kamgombea Zaha na Alex Zaha anasema anaipenda Arsenal ila akaenda United.Project inaweza kuwa sahihi na mwanga unaonekana, then anakuja Bwana Kipara (Pep) na project yake na pesa zake nani aende kwa Teta na Profile yake Ndogo.
Wenger na SAF walikuwa na power sana kwenye kushawishi wachezaji. Walikuwa ni father figure kwa wachezaji wengi sana. Wengi walitakani kucheza chini ya Usimamizi na maelekezo yao.
Watkins haiingi hapa??? Maana yupo vizr zaid katikatik na link up pia yupo njema left na rt pia ypo vzrsijui kwanini nimeanza kuingia wasiwasi na dusan, nikikumbuka yaliyomtokea pepe, dusan ameanza kuwika huu msimu wa pili,
kwa arsenal yetu hii ya vijana wengi inahitaji middle compact na ST mwenye link up play kariba ya lacazette,
Xkumtia villa huyu kijana itakuwa ngumu wataweka dau kubwa mnoWatkins haiingi hapa??? Maana yupo vizr zaid katikatik na link up pia yupo njema left na rt pia ypo vzr
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Niliwahi kuandika hii kitu humu, nikatetea sana, mwisho wa siku nilionekana napiga mbwembwe tu kipindi icho form ya timu haieleweki. Hapo Computerarsenal hakuelewi ukimtetea Arteta, yeye ni results over project, mimi project over results.Arteta inabidi apewe New contract, City have been keeping tabs on Mikel Arteta to succeed Pep Guardiola. The athletic wanaripoti
Kwa upande wangu sioni umuhimu wa coutinho kwenye tim yetuUsajili Updates: Arsenal wamtaka Vlahovic kabla ya msimu wa kiangazi.
Dosan Vlahovic.
Huyu ndie new marksman wetu mtarajiwa.
Arsenal wanataka kumsajili mshambuliaji wa Fiorentina Dusan Vlahovic na huenda wakamtumia Lucas Torreira kuwa uwiano katika ada ya usajili.
Arsenal tayari wapo tayari kuondokana na mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang hivyo kuweka nafasi kwa Vlahovic ambae ana umri wa miaka 21.
Lakini taarifa kutoka kwa vyanzo vya habari kama gazzetta del sport cha Italia zinasema Arsenal wameweka mezani dau la kiasi kama Pauni 58.3m na wanataka kuzuia mchezaji huyo kwenda timu zingine kama Tottenham na Juventus ambao nao wameonyesha kumtaka mchezaji huyo mzaliwa wa Serbia.
Antonio Conte huenda akajaribu kumsajili mchezaji huyo mwezi Julai endapo Harry Kane atakwenda Manchester City.
Juventus wanataka kumuuza Matthijs de Ligt ili kuongeza fedha za kumsajili Vlahovic.
Arsenal tayari wameruhusu Ainsley Maitland- Niles kwenda Roma kwa mkopo na pia wapo tayari kusikiliza dau kwa wachezaji Pablo Mari na Calum Chambers huku Alexandre Lacazette na Eddie Nketia wakiwa tayari kuondoka mwezi Juni baada ya mikataba yao kumalizika ifikapo muda huo.
Lakini habari ingine kubwa ni kwa Arsenal kuhitaji huduma za mchezaji wa kiungo Phillipe Countinho ambae hajaweza kucheza mara kwa mara akiwa na timu yake ya Barcelona.
Msimu ulopita Coutinho alikwenda Bayern Munich kwa mkopo kisha kurudi Barcelona msimu huu wa 2021/22.
Wawakilishi wa Coutinho walisafiri kwenda London mwisho wa wiki ilopita kujadili suala la uhamisho wa mkopo wa Coutinho ambapo sauala la mpango yaani payment structure ndo kizingiti.
Hivyo wakuu, Arsenal imepania kuhakikisha inashikilia nafasi ya nne kwenye msimu wa ligi na ikiwezekana kusogea juu zaidi kwa kuwa na wachezaji muhimu kwa kuzingatia kwa wiki tatu hatutakuwa na Thomas Partey na Mohamed Elneny ambao wapo kucheza AFCON.
Hivyo "fingers crossed" Vlahovic na Coutinho waje Arsenal kuongeza nguvu itakuwa jambo la mbolea sana.
COYGs!!!
Home advantage my foot.🚨 BREAKING: The first leg of the Carabao Cup semi-final v Arsenal has been postponed. The EFL have granted Liverpool’s request but Liverpool have now forfeited home advantage for the second leg.
First game: Anfield on Jan 13
Second game: The Emirates on Jan 20 🔴
Liva wamekimbua MbungiWhat a joke. Just 3 of their senior players test positive. Chelsea had over 4 senior players out due to Covid, yet none of their game was postponed. This shows the hate against Chelsea. Aston Villa had to play their youth against the same Liverpool in EPL due to Covid cases
HahahahahaNiliwahi kuandika hii kitu humu, nikatetea sana, mwisho wa siku nilionekana napiga mbwembwe tu kipindi icho form ya timu haieleweki. Hapo Computerarsenal hakuelewi ukimtetea Arteta, yeye ni results over project, mimi project over results.