Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mikel Arteta has taken Arsenal into three semi-finals in three different competitions in two years.
 
Baada ya kipigo cha 5 - 1 dhidi ya Sunderland mashabiki wa Arsenal wamekua wakishangilia wakisema wamemfunga mdomo Lee baada ya dhihaka zake.

Mashabiki wa Sunderland wanadai kocha wao alikua anatania hakua serious na ile kauli. Hivi ingetokea wangetufunga jana stori ingekua hii hii? Kwamba 'Tumeshinda ila kocha alitania?'

Mi natafuta interview ya kocha wao baada ya mechi
 
..kazi ni kuwafunga midomo..hii Carabao haipo hata kwenye mipango ila nayenyewe ikaa vibaya..tunapitanayo...
 
..wanafamilia wenzangu wa ARSENAL! mimi nipo ARUSHA, SAKINA, BANDA MAZIWA..tujumuike hata mara moja..
 
aya ya kuifunga Sunderland ndo makombe yenu


Sent using motorola 78
 
nilikua nawatamani nyie vibonde wa lukaku awaekelee mana anawaweza nyie2

Sent using motorola 78
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…