Ni Arsenal pekee ndiyo imekutana na timu isiyo ya ligi kwenye EFL?
Huko kwingine uliwahi sikia wakifananisha gharama za vikosi?
So ndiyo kwanza unasikia hapa unadhani kwanini?
Kwa sababu Arsenal is winning na kila inaposhinda wanatafuta sababu ya Arsenal kushinda. So utasikia Covid, timu pinzani ilipitiwa, kikosi cha wapinzani ni cha gharama ndogo n.k. simply wanataka isionekane kocha kajitahidi kwa kiwango gani.