Hii timu tunawachezaji wakawaida sana hawa wote akina odegaard sijui partey sijui xhaka,nawatoto hawa akina martineli sijui Saka hutuwezi kuja kushindana na timu zilizo strong .tubaki tu kuipenda timu kwakua tumetoka nayo mbali huku tukiombea kucheza champions league kujiongezea thamani na kuvizia hivi vikombe vingine kama FA na Carabao.
Sent from my Infinix X690 using
JamiiForums mobile app