Arsenal (The Gunners) | Special Thread

U take it kwa timu gani uliyo nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arteta ni coach wa middle teams but when he faces big teams you know what will happen Arsenal haina coach jamani trust me nasubiria wachambuzi uchwara ambao every day wanamtetea Arteta muda huu wamepotea
 
Fukuzeni wachezaji wote, hamna timu nyie kenge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Team ina lukonga harafu kiongozi arteta hayo mtumaini ya kupataga hata draw mnayatoleaga wapi?
 
Mnapaswa kusajili kwanza ndio mje mcheze na kosi la dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Manyua sio kosi bora, ni team iliyoamua tu kujitutumua na kushinda hii game. Tatizo la Arsenal ni kaliba ya mwalimu na uwezo wake mdogo. Hana jipya na hawezi kuja kuifanya Arsenal iwe team kubwa.

Kuna mabadiliko ya lazima Arsenal nayo ni kuacha uninga wa kukaa na Mwalimu muda mrefu tena asiye na uwezo kwa kuamini juu ya kuvumilia mambo yatabadilika. Hayawezi kubadilika, liva walipoamua kujipambanua walivuta Kloop leo hata akinunua Jota, Mane toka team ndogo baada ya Muda wanakuwa wachezaji wa kubwa, huo ni uwezo wa mwalimu kuwa o goza wachezaji kufikia maximum potential zao. Arteta hana huo uwezo.
 
Kwahiyo Arsenal ni bora kuliko Man Utd?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…