Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo shida imekuepo mara nyingi sana.

Mpaka half time tunawaongoza spurs 3. Second half tukarudi kukaba badala ya kuongeza intensity.

Same dhidi ya Crystal palace.

Hii ishu inatakiwa iwe addressed bwana
 
Hiyo shida imekuepo mara nyingi sana.

Mpaka half time tunawaongoza spurs 3. Second half tukarudi kukaba badala ya kuongeza intensity.

Same dhidi ya Crystal palace.

Hii ishu inatakiwa iwe addressed bwana
Mimi nadhani shida iko kwa kocha kuogopa kupoteza mechi maana siamini km ni wachezaji wanakata upepo
 
Huyo km kweli ni mwana-arsenal basi huwa anaangilia mechi kwa mahaba yaliyopitiliza hivyo anashindwa kufanya uchambuzi
Let me differ kidogo na wewe sijawahi and will never happen kuwa niwe naangalia mechi kwa Mahaba kwani Arsenal alivyolost michezo 3 mfululizo kulikuwa na mahaba?in my opinion tangia Ramsdale aingie kwenye timu kuna changes kubwa sana ameileta kuanzia kuanzisha mashambulizi hadi kusave that's it hakuna cha uchambuzi wala nini that's the fuckin truth
 
Umeanza hasira
 
Hiyo shida imekuepo mara nyingi sana.

Mpaka half time tunawaongoza spurs 3. Second half tukarudi kukaba badala ya kuongeza intensity.

Same dhidi ya Crystal palace.

Hii ishu inatakiwa iwe addressed bwana
Mkuu, Wachezaji wengi kwenye Starting X1 ni young & inexperienced (Saka, ESR, White, Gabriel, Lokonga).Binafsi sioni hii ishu kuwa addressed ndani ya muda mfupi.

Wachezaji wanatakiwa wawe leaders kwenye maeneo yao, Waipush team up the pitch ikiwa mpinzani anaSustain pressure kama Leicester city leo, hili halitokei kwenye first phase (Gabriel & White) wala kwenye final third (Saka & EsR), Ni wazi tunakuwa forced to defend deep. Kinachotupa uhai ni Good tactics & team's balance in each facet of play.

Once klopp alishasema timu yake ni Mentality monsters. Arsenal ni ishu ya Mentality wala si tactical reasons.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…