Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mchezaji tuliyetakiwa kumnunua anafanyiwa sub kwa kuonekana hawezi kuchambua defense.
 
Aaron Ramsdale made 8 saves vs. Leicester City. It’s the most saves he’s ever made in a PL match
 
Tupo ile stage kwamba tunachohitaji ni points haijalishi tumezipataje.

On to the next one against Watford
Lkn mbona muda ambao tumepata yale magoli mawili timu ilikuwa vzr sana ila baada ya hapo ikawa kama wameingiwa uoga wa kuchomolewa yale magoli ndo wakaanza kulinda na dk 15 za kwanza za kipindi cha pili ndo hali ilikuwa mbaya zaidi. Lkn kwangu mimi kilichokuwa kichwani mwangu ndo hicho kimetokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…