Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe unanunua jezi, unanunua tiketi au unatupigia kelele humu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba leo karata yako unampa Nani Kati ya Chelsea au Man city?
Chelsea.

City kuna kaugomvi ka chini chini kwa Pep na mashabiki.

Hawana striker reliable.

Pep ameshindwa kuunlock Chelsea ya sasa kwa speed na compactness waliyonayo.

Naona Chelsea ana advantage kama James, Lukaku, Mount na Kai watacheza.
 
Kwa fixture alizocheza Chelsea up to now(Liverpool Arsenal Spurs Aston villa)plus hii ya leo(Manchester City)sipatii picha Arsenal angeambulia points ngapi?
 
Nuno akirudia komedi ya kumrudisha nyuma Kane basi chansi za ushindi zitazidi kuongezeka.

Natamani tucheze 3 5 2

Tujaze mid kati kati na turuhusu Auba na Laca wacheze kwa pamoja.
Spurs hatusumbui huyu, 4 2 3 1 Xhaka partey katikati, Lacazette anamaliza CF tunamliza mtu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
computerarsenal na Will jr please stop what you are doing here. Mmekuwa mkiishi kwenye familia moja ya Arsenal hivyo sio sahihi kuendeleza malumbano.

Tumekuwa pamoja na hii timu miaka yote, hivyo tumeshiriki kuona mafanikio sawa sawa na matokeo yake mabaya ambayo sasa watu wameshindwa kuyavumilia.

Mpira ni furaha, ni burudani so let football lead us.

Arsenal forever 💪💪💪
 
Gwan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…