Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilikuwa naandika kwa kuwabeza humu, Ila hii comment imenigusa Sana! Tatizo wengine wenzako wanajifariji kwamba Mambo yako shwari, ilihali sio hivyo!

Pole Sana mkuu!
 
Niuzien mm hii timu hamtaki?

Ngoja nijaribu Tena mwaka huu kuinunua

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
 
Mungu atunusuru tusishuke daraja baada ya mechi 3 tutakuwa na point 0 hilo halihitaji ubishi au kutokuwa na akili timamu ya kulitambua hilo!Maadui zetu wote wanafungua msimu na point 3 za Maana!na ndio wataunda Top 4 na Top 10.Weeekend njema
 
Leno tatizo mkuu, anadisconnect timu na jana kajiExpose mno kila mtu kaona,

Kajaribu kuangalia Build up ya Emi Martinez youtube kipindi tunachukua FA afu ufananishe na Leno utaona GK ni shida kuliko.
 
Leno tatizo mkuu, anadisconnect timu na jana kajiExpose mno kila mtu kaona,

Kajaribu kuangalia Build up ya Emi Martinez youtube kipindi tunachukua FA afu ufananishe na Leno utaona GK ni shida kuliko.
Huyo mnayesema anajua kuliko Leno tayari katobolewa mara tatu na Villa ni miongoni mwa timu zilizofanya poa sokoni
 
Mungu atunusuru tusishuke daraja baada ya mechi 3 tutakuwa na point 0 hilo halihitaji ubishi au kutokuwa na akili timamu ya kulitambua hilo!Maadui zetu wote wanafungua msimu na point 3 za Maana!na ndio wataunda Top 4 na Top 10.Weeekend njema
Dah, umeongea kwa uchungu sana mkuu. Pole sana yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…