PIGO ARSENAL| Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amethibitisha kuwa Washambuliaji wake tegemeo nahodha Pierre-Emerick Aubameyang na Alexandre Lacazette hawako fit na hawatacheza dhidi ya Brentford usiku wa leo
.
Muda wa stress kwa Mashabiki wa Arsenal umefika na msimu ndo kwanza unaanza
.