Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Canal + tatizo lake ni ya kifaransa na jinsi ya kumpata mtu muaminifu aliyepo Burundi au Kigoma wa kukulipia. IPTV ni gharama kwenye internet na mikoani sijui kama unaweza kupata streaming ya uhakika. Bado DSTV hana option.Mlmi nilikua natumia cable so gharama za kuona ligi na michuano yote ilikua ni 13K kwa mwezi.
Sasa nipo mkoani nataka kujua kama kuna king'amuzi kinachoonyesha epl kwa bei nafuu. Nimefuatilia canal + ila mchakato wa kukipata na kuwubscribe naona ni moto.
Naomba suggestion
Hizi za taarifa za KSE kutoa pesa sio changa la macho kweli???
zinaweza kuwa za kweli, ila kwa vile timu zinafahamu kwamba Arsenal is dire need of rebuilding the squad na kwamba lazima anunue, zinatupiga hela ndefu. kwa maana hiyo kuna sababu ya kwenda taratibu, ila bado naamini watanunua na kuna wachezaji >5 wataondokaHizi za taarifa za KSE kutoa pesa sio changa la macho kweli???
Kawaida hiyo mkuu, pesa ikiwa kidogo unaEconomize,ikiwa nyingi unafanya fujoBudget nene huku unaitumia kuziba viraka maeneo yasiyo na shida kubwa ni masihara
Spurs kasuluhu 1 - 1 na timu ya daraja la pili.😂😂😂 Arsenal mna hali mbaya, yaan mpaka mechi za kirafiki bado mnapumulia mashine
"okonkwo" Tatizo lilianzia apoSpurs kasuluhu 1 - 1 na timu ya daraja la pili.
PSG kasuluhu 2 - 2 na timu ya daraja la tatu.
Borussia kafungwa 3 - 1 na timu iliyopanda daraja.
Bayern kafungwa 3 - 2 na FC Koln iliyoshika mkia msimu ulioisha.
Italy anachukua kombe leo, kesho matokeo ya Arsenal yamezima stori ya Italy.
Ila macho yote kwa Arsenal. Kwanini? Ni timu kubwa.
Timu kubwa inashindwa usajiliSpurs kasuluhu 1 - 1 na timu ya daraja la pili.
PSG kasuluhu 2 - 2 na timu ya daraja la tatu.
Borussia kafungwa 3 - 1 na timu iliyopanda daraja.
Bayern kafungwa 3 - 2 na FC Koln iliyoshika mkia msimu ulioisha.
Italy anachukua kombe leo, kesho matokeo ya Arsenal yamezima stori ya Italy.
Ila macho yote kwa Arsenal. Kwanini? Ni timu kubwa.
Kwahiyo waliosajiliwa wameokotwa? Nyinyi mpaka sasa hivi mmemsajili nani?Timu kubwa inashindwa usajili
Wewe unataka timu gani iwe kubwa?"okonkwo" Tatizo lilianzia apotimu kubwa iwe arsenal
Imeshindwaje usajili? Aisee akili ya mwafrika anaijua mwenyewe.Timu kubwa inashindwa usajili
Kwahiyo waliosajiliwa wameokotwa? Nyinyi mpaka sasa hivi mmemsajili nani?
Kwahy pale kwa Okonko Mundende ndo mnajifariji mnaona usajili wa kibabe.?Imeshindwaje usajili? Aisee akili ya mwafrika anaijua mwenyewe.
Kitu kama hukijui unauliza.Kwahy pale kwa Okonko Mundende ndo mnajifariji mnaona usajili wa kibabe.?
Chelsea hatujasajili lakini tunajiwezaKitu kama hukijui unauliza.
Unapolazimisha kuonekana unajua haileti picha nzuri.
Okonkwo ni mchezaji wa academy kajiunga pale bado mdogo tu, amepandishwa timu ya wakubwa hata mwezi hana.
Mmemsajili mchezaji gani mbona hautaji?
Umetoka kusema timu kubwa haisumbuliwi na usajili kwahiyo chelsea timu ndogo?Chelsea hatujasajili lakini tunajiweza