Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta ni kizungumkuti tu niamini mimi.
Kama tuko hai tutaona, ninani atakae leta maendeleo kwenye timu yake.

Arsenal na Man united matatizo yetu yana fanana, wote tunapigana kurudi kwenye ubora wetu, sasa ngoja tuone nani atakae kuwa wakaanza kuirudisha heshima hiyo.
 
Tuombe uhai.

NB. Arteta kaahidi makubwa kuanzia msimu wa tatu.
 
Tuombe uhai.

NB. Arteta kaahidi makubwa kuanzia msimu wa tatu.
Mduanzi we, sasa kwa nini unataka Sorkskjaer alete mafanikio kwa haraka?

Hata mimi na mpa kocha wangu misimu mitatu.
 
Mduanzi we, sasa kwa nini unataka Sorkskjaer alete mafanikio kwa haraka?

Hata mimi na mpa kocha wangu misimu mitatu.
Hahaha ole ana muda gani united? Kuhusu mafanikio siyo kwamba mimi nimepanga ni siku anatambulishwa ndiyo alisema hivyo.

Kwani Ole alisema agewe muda gani?
 
Tuombe uhai.

NB. Arteta kaahidi makubwa kuanzia msimu wa tatu.
Huyu mwamba kabeba makombe mawili Arsenal ila kahidi mambo makubwa baada ya misimu mitatu ijayo kila la heri kocha wetu Arteta.

Wewe unaiweza the gunners kulikoni wengine.

Big Up legend wetu!!!
 
Siku kama ya leo tuliwalala bao 6 kwa 1 pale Stamford Bridge.
Hakika ni siku ya kukumbukwa sana ...maana tuliwapa kichapo heavy.
Wafungaji alikuwa Mo Salah, Oscar Emboaba, Eden Hazard, Samweli Eto'o, na Somebody Shurrle..

Je mnazungumziaje kipigo hicho?
#CFC


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Arteta kwenye pre-season angejaribu combination ya Guendouz/Torreira, Partey na Creative mid mmoja iwe Odegaad au Aouor(kama watasajiliwa) anaweza kupata something different.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…