Dah pitia na jukwaa la nafasi za kazi na huko utanikuta piaHello Guys.
Nilivyokuwa mapumzikoni nilipitia nyuzi za 'warembo wakali' na 'kimasihara' na zilisaidia kupunguza stress za Arsenal yetu. Nimekuta kuna wadau wa humu kule pia na ni wachangiaji wazuri tu kule. Ningewashauri wengine humu wakapitie kule huenda watapunguza stress kidogo.
Tuendelee na club yetu maana potential ipo. Kazi kwao kuimarika na kazi kwetu kushabikia na pale tunapokosoa tusisahau ubinadam.
Yes boss. Hayo mawili nimeyaleta huku maana ndio favourites 😃😃Dah pitia na jukwaa la nafasi za kazi na huko utanikuta pia
Unatafuta mchumba au unafurahisha macho baadae uendelee na mengine?Hello Guys.
Nilivyokuwa mapumzikoni nilipitia nyuzi za 'warembo wakali' na 'kimasihara' na zilisaidia kupunguza stress za Arsenal yetu. Nimekuta kuna wadau wa humu kule pia na ni wachangiaji wazuri tu kule. Ningewashauri wengine humu wakapitie kule huenda watapunguza stress kidogo.mengine?
Tuendelee na club yetu maana potential ipo. Kazi kwao kuimarika na kazi kwetu kushabikia na pale tunapokosoa tusisahau ubinadam.
😃 😃 😃 Boss kule ni hatari. Uzi ulianza simple tukwa ajili ya vijana kufurahisha tu macho ila naona sasa ume evolve kuwa kitu amazing kwa mabaharia maana mwendo wa 'homegrown players' umeongezeka ma super agents wanapeana connections hatari. Ni 'transfer season' kila siku now 😃😃Unatafuta mchumba au unafurahisha macho baadae uendelee na mengine?
leo ndio nimeutambua ushamba wangu, nipo mjini muda, kuna wakati nilikuwa mtu wa viwanja, lakini sijamtambua hata mmoja katika uzi huo😃 😃 😃 Boss kule ni hatari. Uzi ulianza simple tukwa ajili ya vijana kufurahisha tu macho ila naona sasa ume evolve kuwa kitu amazing kwa mabaharia maana mwendo wa 'homegrown players' umeongezeka ma super agents wanapeana connections hatari. Ni 'transfer season' kila siku now 😃😃
😃 😃 mimi sioni ushamba wowote hapo boss. bongo ina mambo mengi nahata ukikosa baadhi ya vitu bado hujapitwa.leo ndio nimeutambua ushamba wangu, nipo mjini muda, kuna wakati nilikuwa mtu wa viwanja, lakini sijamtambua hata mmoja katika uzi huo
mimi sioni ushamba wowote hapo boss. bongo ina mambo mengi nahata ukikosa baadhi ya vitu bado hujapitwa.
Ila kwa sasa namfikiria huyu Benfica nitamuadhibu vipi...
Siyo rahisi hivyo boss.Timu za kushindana na Arsenal Europa ni mbili spurs na Nyumbu,huyu benifica anafungasha virago first leg
Benfica wa kawaida kabisa kwa Arsenal..mwiba wetu ni timu zinazotokea EPLSiyo rahisi hivyo boss.
Naona Arteta alimpumzisha Pepe kwenye hio game ya leeds kwasababu ya mind games. Yule dogo aliyemsababishia red card alikua ashaanza maneno maneno tena. Ila Willian sijui karogwa na nani jmn dahWillian aliingia kuchukua nafasi ya Emile dakika ya 62. Mpaka Emile anatoka alikua amepoteza mpira mara 5 Willian akacheza kwa dakika 28, akapoteza mpira mara 6.
Odegaard game nzima alipoteza mpira mara 5. Emile ana key pass, ana shot ana duels alizoahinda Willian hana hata kimoja.
Yet kocha alimtoa Emile na kumuingiza Willian, kwanini asingeingia Pepe? Amemuingiza mchezaji ambayo vision yake katika passing ni back pass tu, hicho ndicho tunahitaji kweli?
Willian anampa nini Arteta?
Aubameyang ametimiza magoli 201. Moja kwa moja ameingia kwenye orodha ya wachezaji walioscore magoli kuanzia 200. Kuna watu hua wanamfananisha Auba na Rashford au Martial hili ni jibu lao tosha.
Lacazette amepumzishwa nafikiri as tuna game na Benfica, yeye na Emile na Pepe nahisi watakuepo kwenye starting XI. Bellerin ni mbovu sababu pekee ana ratings kubwa ni lile goli lakini magoli mawili ya Leeds yametokea wapi?
Soares anacheza vizuri namba 3 utafikiri ni left footer anacheza vizuri mpaka kelele za Tierney arudi zimetulia na tumejisahau kwamba hatuna namba 3. Ceballos kasema anataka kurudi Madrid ili akapambanie namba.
Modric, Kroos wanaishia hivyo ni sahihi kujiona ana chansi ya kutoboa kwenye kikosi safari hii.
Game na Benfica mimi naona kirudiwe hiki kikosi. Emile, Saka na Odegaard ni forward minded players Auba imebidi aadapt kilazima kama Laca alivyolazimika kubadilika. Hao watatu wakiwepo au mmoja asiwepo awepo Pepe pia ni deal poa.
Lets do this
Sasa hivi Barca akikutana na Asernal, Asernal ndo wakati mzuri wa kulipiza kisasi alivyonyanyaswa miaka ya nyuma Barca akiwa onfire. Ila ndo hvyo hawawezi kutana labda wasubiri hadi msimu ujao.Arsenal tuko kwenye hali mbaya ila Barcelona wako kwenye hali mbaya zaidi
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Karibu ule za uso.Nyie washika buduki, najua saizi mko busy na furuhi yenu, Ila pia mkubuke kua Jumapili city tunakuja,