isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,562
Mustafi image yake sio kubwa naweza kusema impact ni ndogo. Maana Mustafi mikataba mingi ni binafsi (Mercedes-Benz, Nike, Armani na Louis Vuitton).Hii issue ya kina mustafi haiwezi kuwaharibia kwenye maswala ya kisoko?
Mkakati ni kuhakisha kufikia 2023 wenye mlengo huo Arsenal utakuwa mwisho wao. Baada ya Özil na Kolasinac anafuata Mustafi, Elneny, Xhaka kisha Pepe.Duhh, muslims hawatakiw gunners??
En Auba pole yake.
Mkuu usije lets habar za vijiweni, source ya habar yako kama hutojal.Mkakati ni kuhakisha kufikia 2023 wenye mlengo huo Arsenal utakuwa mwisho wao. Baada ya Özil na Kolasinac anafuata Mustafi, Elneny, Xhaka kisha Pepe.
Unaposema hii habari, weka source: isajorsergio.Mkuu usije lets habar za vijiweni, source ya habar yako kama hutojal.
Apangwe mechi na nyumbu,akiwepo Tierney mzee wa majaro na mwamba Partey shughuli mbona nzito
Apangwe mechi na nyumbu,akiwepo Tierney mzee wa majaro na mwamba Partey shughuli mbona nzito
Kwahiyo hata tukishinda leo hatuongozi ligi wala nini?Kwenye uzi wenu niliwahi kuandika hivi
United kua wa kwanza ni kama kumuona tembo juu ya mti. Wote hatujui kapandaje ila tuna uhakika atashuka.
Now to be fair mnaongozwa na bahati kipindi hichi, mnafuatwa na game nyanya baada ya Arsenal hamna majeruhi so mko tayari kushika tena nafasi ya kwanza au siyo?
Hehehe, sheffield ikitoka kwenu inaenda kwa City, leo leicester akishinda united inashuka mpaka nafasi ya tatu. Kisha ili iwe ya kwanza itabidi imfunge Arsenal.
Kazi au?
it is truehaisemwi ila tetesi zinadokeza kuna ishu ya taraka ktk familia yake
Nani kamuacha nani?it is true
Leo sioni kama mtakosa points tatu. Ndiyo maana nikasema Sheffield akitoka kwenu anaenda kwa City Jmosi.Kwahiyo hata tukishinda leo hatuongozi ligi wala nini?
Sioni wakuizuia Manchester United kuchukua 3 points, Sio Sheffled wala aseno.
Funika kombe mwana haram apite, J/Mos sio mbali, mchawi uhai tu.Leo sioni kama mtakosa points tatu. Ndiyo maana nikasema Sheffield akitoka kwenu anaenda kwa City Jmosi.
So anawapa nyinyi points kisha anaenda kuwapa points City.
Arsenal ya sasa inaweza fungwa na yeyote. Lakini Arsenal ya sasa inaweza kumfunga yeyote pia.
Kwahiyo chonga ngenga ila wewe na chelsea mnajijua mbele yetu.
kumbe ishu ni mama yake anaumwa, amewashukuru fans kwa kumtia moyo, i hope atakuwepo kwenye kuwaua nyumbuNani kamuacha nani?
Halafu Arsenal miyeyusho tulikubaliana This is Family, mwanafamilia mwenzetu kakumbwa na matatizo ya kifamilia na hatuambiwi kwahiyo tuseme ufamilia wetu unaishia kwenye pitch.