Nimekusoma, km target ni kusajili kiungo summer, maana hii loan nilijiuliza kwanini asije Permanentmimi ukitoa GREALISH basi sioni mwingine....lkn kwa hawa wanaotajwa...huyu odegaard namkubali kuliko brandit, shida ya buendia wanataka kutuuzia paund mil 40, january...wakati arsena wanajipanga summer kutumia hiyo hela au zaidi kidogo wamrudie Aour au wajaribu kwa Grealish
Hilo nalo tatizo,huyo tumemfatilia kwa muda lkn now tumeshiftBinafsi nina imani na Buendia kuliko wote waliotajwa. Sijamaanisha Odegaard ni hovyo ila tulimchukua Suarez kwa mkopo na ikawa siyo ishu huyu sijui itakuaje.
Siyo. Alianza mpira akicheza kama LW. Ndiyo maana hata mechi ya juzi alicheza kama LW.ni natural AM , yaani huyo Jack... ni habari nyingine, aour hamgusi hata kidogo, jack anacheza LW & RW , Llkn main position yake ni AM, Sio hype, jack hata last seaoson wakiwa mkiani yeye binafsi alikuwa vzr, ndie aliplay part kubwa kuipandisha daraja wakiwa championship, uwezo wake hauna doubt, mancity wana nafas kubwa kumpata summer
Aston villa wanapocheza 4-3-3, anacheza morden no.10 ambayo ozil ilikuwa ngumu kumpanga, kwa mujibu wa Transfer market wanasema ni AM as main natural position ,
ni moja ya jina linatajwa summer but itacost paund million 75-80. , ili kumpata,
Halafu kuna youngster mmoja wa Barca tumehusishwa naye. Anaitwa Riqui Puig, yaani sikuuona kama huu ni usajili poa kwakua Puig hana game time kabisa, yaani na sasa hivi Barca inavyostruggle ila bado hawezi fightia namba. Arsenal kwa sasa inahitaji matokeo ni sahihi zaidi kumsajili mtu kama Buendia kwakua ana uzoefu huku Emile anazidi kujikuza na kumuepusha na fatique.Hilo nalo tatizo,huyo tumemfatilia kwa muda lkn now tumeshift
Nitaomba mnisaidie,up to now I still see Smith Rowe as an over-hyped player, sijakiona hicho mnachokiona kwake, bado sana, labda atumie nafasi hiyo kujipasha sanaaaa.Halafu kuna youngster mmoja wa Barca tumehusishwa naye. Anaitwa Riqui Puig, yaani sikuuona kama huu ni usajili poa kwakua Puig hana game time kabisa, yaani na sasa hivi Barca inavyostruggle ila bado hawezi fightia namba. Arsenal kwa sasa inahitaji matokeo ni sahihi zaidi kumsajili mtu kama Buendia kwakua ana uzoefu huku Emile anazidi kujikuza na kumuepusha na fatique.
Ila ukiwa na Odegaard kisha una Emile you simply have two youngsters wanaotakiwa kujinoa na kujinoa na kujinoa na kujinoa tena.
sure,it's much better ikifika summer watushushie hii mashine ya ki-Argentina tupate soka la south america pale mbele.Halafu kuna youngster mmoja wa Barca tumehusishwa naye. Anaitwa Riqui Puig, yaani sikuuona kama huu ni usajili poa kwakua Puig hana game time kabisa, yaani na sasa hivi Barca inavyostruggle ila bado hawezi fightia namba. Arsenal kwa sasa inahitaji matokeo ni sahihi zaidi kumsajili mtu kama Buendia kwakua ana uzoefu huku Emile anazidi kujikuza na kumuepusha na fatique.
Ila ukiwa na Odegaard kisha una Emile you simply have two youngsters wanaotakiwa kujinoa na kujinoa na kujinoa na kujinoa tena.
Hii nayo ni hoja japo sijui wenzetu ulaya wanaichukuliaje. Wachezaji wa Amerika ya kusini kutokana na street football zao wanakuwa fighters kweli kweli hususan mataifa kama Argentina na Chile. Brazil inawahusu lakini wao wanalo tatizo la msingi la kushindwa kuji-manage hususan maisha yao off the pitch.sure,it's much better ikifika summer watushushie hii mashine ya ki-Argentina tupate soka la south america pale mbele.
Juzi tu hapo nimetoka kusoma Emile bado hatoshi, outstanding strength ya Emile ni 'Passing' tu which is weird. Kinachosababisha amekua spark ya ushindi ni ana mentality ya kwenda mbele na kufanya runs ambazo zilikua hazifanywi.Nitaomba mnisaidie,up to now I still see Smith Rowe as an over-hyped player, sijakiona hicho mnachokiona kwake, bado sana, labda atumie nafasi hiyo kujipasha sanaaaa.
Odegarrd atatuofa nin ambacho smith rowe hana?
Siyo kiande ila ni mchezaji aliyekua hana game time so inabidi aanze kunolewa wakati timu inahitaji ushindi bandika bandua. Kulikua na Draxler na Buendia ukiacha Aouar,tulikua na machaguzi mengi kiukweli.
Pia Madrid, Juve na Barcelona na wao wanamsaka Aouar.
Huyu Nyumbu Tunakuja kumuharibia sherehe yake Sisi Wenyewe tarehe 30 washindwe wao tuu wanyuma yake hatutaki kuona top one pale wiki alizokaa palee juu zinamtosha ...!! Tunamsubilia kwa hamu zote yaani machinjioni Emirates Stadium
halafu wakumbusheni tuu napenda kuwajuza uwepo wa kaka mkubwa Thomas Partey nae atakuwepo.
Hahahahaaa.....!!! Nacheka kwa Dharau sana yaanii....!! Nikisikia Siku za Nyumbu zinakaribia...!! Namtamanii yaanii....
Kitoabu rafiki yangu umetusumbua sana humu, siku zako zinahesabika
Timu yangu kwenye usajili inasikitisha ,kuwa nafasi tuliyonayo sasa sio jambo la bahati mbaya ,wakati tunataka tujinasue kwenye tatizo tunaleta mtu ambaye hawezi kutunasua kwenye janga, AM position inahitaji mtu mzoefu na fighter EPL tunaijua wote trust me ukiangalia big teams kwenye AM position na Arsenal kwenye hiyo position ni mbingu na ardhi ,tutaendelea kuumia na kulialiaFabrizio romano
Real Madrid and Arsenal have been negotiating for Γdegaard also tonight. The agreement is really close as reported yesterday - there are still details to be sorted out. No Real Sociedad, no Ajax: Γdegaard wants Arsenal. Heβs now pushing to join #AFC in the coming hours.
Tatizo youtube wanachukua vipande vikali vikali. Kuna msemo upo humu unasema hakuna mchezaji mbaya youtube.Alafu huyu Aouar mutakuja kukumbuka shuka kipindi ambacho wenye pesa washamchukua.
Huyu jamaa nilimuangalia YouTube nikasema akitua aseno anaweza akawa dawa ya tatizo.
Kama ilivyo kua kwetu kwa Fernandez.
Not too fast bro.Timu yangu kwenye usajili inasikitisha ,kuwa nafasi tuliyonayo sasa sio jambo la bahati mbaya ,wakati tunataka tujinasue kwenye tatizo tunaleta mtu ambaye hawezi kutunasua kwenye janga, AM position inahitaji mtu mzoefu na fighter EPL tunaijua wote trust me ukiangalia big teams kwenye AM position na Arsenal kwenye hiyo position ni mbingu na ardhi ,tutaendelea kuumia na kulialia
Usajli wa Defence pekee umelipa ila kwa viungo na washambuliaji ni ujinga ujinga tu Willian, Pepe, Ceballos, now anakuja huyo Odegaard (huyu mechi 5)nampa hatakuwa na maajabu ,mchezaji ambaye unatolewa kwa loans unazurura zurura mara leo mara kule it means hauaminiki na in my opinion huu pia utakuwa ni usajili wa kupoteza muda
We na we unaandika kama umepakwa maziwa mkononi.Kuna mtu alisema hii timu kwa kukopa hamjambo
Unakuta mchezaji wa pound mil 8 bado mnamkopa hahahaha
Jumanne tunakutana nao kwenye ligi. Unadhani tutarisk watu wote hao?The team I think Mikel will play today: Expecting to see the same front 4 that started the Newcastle FA Cup game. (Before Martinelli injury) Gabriel-Chambers would be a nice pairing. (Arteta said Chambers training well last 2 weeks)
\View attachment 1684096