Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

KWA MJIBU WA #CIES_FOOTBAL_OBSERVATORY BUKAYO #SAKA NI MCHEZAJI WA 15 KWA WACHEZAJI WENYE BEI KUBWA
Ni taarifa na statistics za vyombo ya habari kwamba Kwa mjibu wa #Cies_footbal_observatory
#Bukayo_saka ni mchezaji wa 15 duniani mwenye gharama ya €116.2 sawa na £105 ambaye yuko mbele ya akina Harry Kane,Ansu fati,Vinicious Jr,Gnabry
Ni taarifa njema na nzuri kwa kijana huyu kwasababu itamsaidia kuendelea kujituma zaidi
Na kama moto alionao ataendelea nao hivi na asipopata majeruhi namuona akienda kuwa Mchezaji bora kinda wa #EPL
 
Mungu akulinde na majeraha na kiwango chako kipande maradufu..Asante kwa show uliyotupa
🙏
❤️
🤗

137513147_1383778961958260_6591865245449931491_n.jpg
 
Mungu akulinde na majeraha na kiwango chako kipande maradufu..Asante kwa show uliyotupa
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ftd9%2F1.5%2F16%2F1f64f.png&hash=c2e779962e242e51de00bba864017d5a" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ftf3%2F1.5%2F16%2F2764.png&hash=e0679c910bd2e9c76d6bbb7b5970548c" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft10%2F1.5%2F16%2F1f917.png&hash=2a1e70f90b5e182ebdf40b37ef04976b" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />

View attachment 1674988

Version of KDB
 
NAFURAHI KUONA HIKI KIPAJI NATAMANI KUENDELEA KUKIONA LAKINI ANAHITAJI MANAGEMENT SAHIHI
🤏
Hapa namzungumzia kijana huyu ambae kafananishwa sana na kevin de bruyne nae ni Emile smith rowe
🤏
Almaarufu kama EMZINHO ni moja ya academy graduate wa hale end ni kijana aliyejiunga na gunners akiwa na miaka 10 tu kipindi icho
🤏
kawahi kufanya majaribio chelsea 2009 mpaka arsenal walipomuona kumsajili
🤏
huyu ni talent ni moja ya waingereza ambao kimsingi ni talents halisia mpaka kufaninishwa bruyne sio muonekano tu hata nature uchezaji wake
🤏
rowe hakuanza kupata nafasi kubwa kucheza senior team kama ilivyo kwa kina saka au willock lakini ni kijana anae ipenda arsenal kujituma
🤏
kawahi kataa offer kujiunga spurs na barca sababu aliamini arsenal ni sehemu sahihi kwake
🤏
katolewa kwa mkopo rb reipigz baadae huddesfield aliendelea kuonesha kitu
🤏
lakini sasa Rowe kinachomnyima nafasi kubwa kama wenzie ilikuwa injury prone anaumia mara nyingi
🤏
na nature ya ligi ya epl inahitaji ukakamavu kidogo walau kucheza atleast match 20 bila majeruhi unless iwe fatigue
🤏
ila kwa rowe ikawa tabu kidogo lakini nafasi yake ipo leo hii rowe anatokea ambapo hakuna aliyetarajia kuwa suruhisho kiasi kwenye attacking rhythm yetu
🤏
nataka kuzungumza hiki kulingana na nature ya rowe anahitaji msaada ( rotation) kumfanya tegemeo pekee inaweza kuwa hatari zaidi kwake na filosophy ya team
🤏
lazima kuwepo mbadala apewe muda sahihi kucheza ila afanyiwe rotation kumlinda na majeruhi ambayo ni sehemu ya historia yake
🤏
ni kazi ya jopo la makocha kufanya management sahihi kwa kipaji iki tunahitaji kwa sasa na baadae
136423342_903885807086613_1476718925473966055_n.jpg
 
Corrieredellosport : Fiorentina coutinue to monitor the situation of Lucas Torreira who doesn't have enough game time at Atletico de Madrid
 
"Arsenal have been tracking Brandt for quite some time which has helped spike the speculation, however, as hard as a January deal would have been, it’s now been dealt a hammer blow." Arsenal likely to miss out on Julian Brandt

(via @SwedishRoss)
 
Emiliano Buendia gave an interview to "Dame Futbol' in Argentina. he stated the following : "I aspire to the best and work every day to get back to the Premier League, either in my team or through a transfer. Returning to the Premier League in the short term is a dream."
 
Arsenal away to Shrewsbury or Southampton in the FA Cup fourth round. Likely to be away at Wolves in the fifth round if they get through. Not easy.
 
Arsenal are interested in the possibility of signing Yves Bissouma, but any move for the Brighton midfielder is likely to be in the summer. [Football London] #afc
 
Arsenal are still active in January transfer market & are looking to bring in a creative midfielder. Football London understands that Emi Buendia is open to the possibility of a move to the Emirates, however, a deal for Julian Brandt is less likely. #afc
 
If Southampton and Wolves win their ties (and Arsenal progress in 4th round), Arsenal would face 10 Premier League sides in a row in domestic cup competitions (including Community Shield).
 
NAFURAHI KUONA HIKI KIPAJI NATAMANI KUENDELEA KUKIONA LAKINI ANAHITAJI MANAGEMENT SAHIHI
🤏
Hapa namzungumzia kijana huyu ambae kafananishwa sana na kevin de bruyne nae ni Emile smith rowe
🤏
Almaarufu kama EMZINHO ni moja ya academy graduate wa hale end ni kijana aliyejiunga na gunners akiwa na miaka 10 tu kipindi icho
🤏
kawahi kufanya majaribio chelsea 2009 mpaka arsenal walipomuona kumsajili
🤏
huyu ni talent ni moja ya waingereza ambao kimsingi ni talents halisia mpaka kufaninishwa bruyne sio muonekano tu hata nature uchezaji wake
🤏
rowe hakuanza kupata nafasi kubwa kucheza senior team kama ilivyo kwa kina saka au willock lakini ni kijana anae ipenda arsenal kujituma
🤏
kawahi kataa offer kujiunga spurs na barca sababu aliamini arsenal ni sehemu sahihi kwake
🤏
katolewa kwa mkopo rb reipigz baadae huddesfield aliendelea kuonesha kitu
🤏
lakini sasa Rowe kinachomnyima nafasi kubwa kama wenzie ilikuwa injury prone anaumia mara nyingi
🤏
na nature ya ligi ya epl inahitaji ukakamavu kidogo walau kucheza atleast match 20 bila majeruhi unless iwe fatigue
🤏
ila kwa rowe ikawa tabu kidogo lakini nafasi yake ipo leo hii rowe anatokea ambapo hakuna aliyetarajia kuwa suruhisho kiasi kwenye attacking rhythm yetu
🤏
nataka kuzungumza hiki kulingana na nature ya rowe anahitaji msaada ( rotation) kumfanya tegemeo pekee inaweza kuwa hatari zaidi kwake na filosophy ya team
🤏
lazima kuwepo mbadala apewe muda sahihi kucheza ila afanyiwe rotation kumlinda na majeruhi ambayo ni sehemu ya historia yake
🤏
ni kazi ya jopo la makocha kufanya management sahihi kwa kipaji iki tunahitaji kwa sasa na baadae
View attachment 1675001
Kabisa Mkuu huyu kijana ninamkubali tangu zamani na pia ni fighter mzuri hachoki na anaipenda timu yake.
 
Wapiga bunduki mlio geuka warusha mishale,za siku nyingi!
Bado hamuyaogopi Majogoo ya Anfield?
 
Huyu Nketiah nikimtazama akicheza, namuona ana potentials may be Arteta anahitaji 'kumsuka' vizuri.

Kwa kipindi tulicho pitia hapo nyuma, wakati mwingine ni vigumu sana kuwa assess hawa junior players. Kama kina Auba, Lacca, Willian nao walipotea kule mbele binafsi napata kigugumizi kuwalaumu hawa 'makinda'.

Kwenye soka eneo gumu sana kupata young players wanao shine kwenye umri mdogo ni striking, mara nyingi players hukomaa kwenye eneo hilo baada ya kumudu mikiki mikiki ya muda mrefu against 'stubbon defenders'.

Elsewhere, bado nasema Arteta ni kocha mzuri anahitaji muda na resources ili project yake ifikie maturity.

Nikitazama age na viwango vya akina Saka, Martinelli, Niles, Holding, Tierney, Smith Rowe, Nketiah, Reiss Nelson, Gabriel na Willock.... I simply see a bright future ahead!!
Kama hawatouzwa.
 
Back
Top Bottom