Wachambuzi wengi wanamponda Bielsa, wengi wanadai timu anazofundisha hazina mafanikio kivileee.Umegusia issue ya Leeds hapo na 4-1-4-1 yao, kiukweli nampenda sana Bielsa ni 'football genius'. Jamaa anavyoitumia hii formation natamani Arteta acopy baadhi ya vitu kisha aviboreshe, labda chanagamoto kubwa itakuwa kucope na speed na intensity ya game over 90mins.
Leeds ukipitia highlights zao utaona jinsi wanavyo shambulia, wanakuwa na watu hadi 6 wanao approach box ya mpinzani na wote hao hufika kwa speed kali ambapo huwafanya wawe ama 6v4 au 6v3.
Kuna viungo watatu ambao hawaingii ndani ya box au wanaingia na kutoka chap, wawili wanakuwa kwenye angle za 18 yard box na huyu mmoja yupo kwenye ile 'D' ya 18 yard box, then strikers/viungo wawili wanaingia kwenye 18 huku mmoja yuko na mpira.
Hapo wanaistrech defence na kuacha space pana ya ama kupiga penetration passes ama kupiga mashuti nje ya 18 na magoli yao mengi wanafunga nje ya 18.
Natamani style hiyo ili kutoa space ya kutosha kwa wingers wetu ( Auba, Pepe,Willian, Nketiah) na pia kubypass role ya AM ambaye kwa sasa hatuna lakini pia ni mfumo mzuri wa kushambulia unapocheza na timu kama Liver au City.
Hii style ya kushambulia aliitumia pia Klopp akiwa Dortmund kama utakumbuka partnership ya Auba, Reus, Mikhi na Lewandoski. Pia hata sasa anaitumia pale Liver japo kaifanyia maboresho kidogo.
Ni kweli hazina mafanikio sana si kwa sababu zimefundishwa na Bielsa bali ni average teams. Ukiacha za huko America, team alizofundisha Ulaya ni pamoja na Espanyol, Athletic Bilbao, Marseille, Lazio na Lille kabla ya kuja Leeds.Wachambuzi wengi wanamponda Bielsa, wengi wanadai timu anazofundisha hazina mafanikio kivileee.
Anaweza akaanza msimu vizuri ila mwishoni timu ikakata upepo kabisa.
Wewe kenge , leta msimamo
Hehehe kweli kabisa....paul scholes alipewa timu hakumaliza hata mwezi akachomoka.Ni kweli hazina mafanikio sana si kwa sababu zimefundishwa na Bielsa bali ni average teams. Ukiacha za huko America, team alizofundisha Ulaya ni pamoja na Espanyol, Athletic Bilbao, Marseille, Lazio na Lille kabla ya kuja Leeds.
Hizi team zote zina bajeti ndogo sana hivyo zinakuwa na vikosi finyu kuweza kupambana msimu mzima. Kuna injuries na uchovu pia.
Pia mkuu hawa wachambuzi wengi wao ni 'wapiga ngenga' tu, hawajawahi hata kufundisha timu waone changamoto zake.
Garry Neville na ndugu yake Phil Neville walikuwa wanaponda sana makocha hasa Mourinho, walipewa Valencia waifundishe (wote wawili) kilicho wakuta baada ya pale wamekuwa na discipline sana wanapofanya uchambuzi.
Yah nimeona Leeds kafa kwa Palace ila nimecheki tu live score sijaona game kwa hiyo siwezi comment chochote.Hehehe kweli kabisa....paul scholes alipewa timu hakumaliza hata mwezi akachomoka.
Umeona leo leeds kalala na vinne, shida nini aisee?
98 mzee, hawa kina Davor Suker nimewapokea klabuni,Wew umeanza lin kushabikia arsenal?
Mwenzio kaanza mid 90s....
#Arsenal are in talks with Domenik #Szoboszlai for January. Ready a contract until 2025 + option for another season. #ACMilan are also interested in him. #Salzburg could sell him in January as happened with Haaland (BVB) and Minamino (Liverpool) last year. #transfers #AFC
98 mzee, hawa kina Davor Suker nimewapokea klabuni,
Hahahah ati Willian anajua kupiga Freekick.Aston Villa kapoteza games mbili mfululizo kapoteza game na Leeds, alifungwa tatu bila, kisha akapoteza kwa Southampton nne tatu.
Interesting game ni ile ya Leeds. Leeds anacheza 4 1 4 1 hii formation inakupa ukabaji mkubwa na kumiliki mpira kwa muda mrefu.
No wonder Leeds alimiliki mpira kwa 60% kwenye hii game.
Also inafanya muda wote wachezaji wawe lango la upinzani.
Arsenal formation yetu ya 3 4 3 ni same, unakua na viungo wengi katikati huku unamiliki mpira na kupaki basi kwa pamoja.
Tofauti yetu na Leeds sisi hatuna mpira wa speed na hatuna wachezaji wa kufosi. Kwa hii game tayari inaonyesha Villa akipelekewa mashambulizi na akaukosa mpira muda mrefu anakua frustrated.
This explains kadi za njano na faulo nyingi alizocheza. Pia inaexplain faulo za Soton ambazo ndiyo zikazaa magoli mawili.
It also tells us kipa hakua mzuri sana katika direct freekick ambazo Willian anajua kuzipiga.
So mpaka sasa tuna advantages mbili, formation na mid yetu na piece taker.
Ili kuwaongezea frustrations na wawe reckless inabidi tuwe na mtu anayeweza kukaa na mipira muda mrefu na haogopi kwenda mbele jibu linakuja Partey na Ceballos.
Mlinzi wa kulinda wenzake wakienda mbele ni Xhaka au Elneny.
Watu watakaoswarm kwa sprinting za kwenda mbele ni Bellerin na Cedric na Tierney.
Disadvantage? Ni kwamba formation yetu hua inakua wazi kwa mipira ya counter. Juzi hivi Xhaka alimdaka mtu, ile ilikua ni counter imeshakubali. Na hawa ndiyo walimpiga Liva goli saba, mixer na counter humo humo.
Also wana Watkins, Grealish na Trezeguet. Lets hope Grealish ataendeleza utoto wa anao anao na pia pressing itapigwa huko huko juu ili isiwepo chansi ya counter.
Mustafi hana pace ni risk kumpa namba hapo. Ni bora Xhaka awe CB kuliko Mustafi.
At last itakua ni kuonyeshana who belongs where. Hizi ni nyakati za kumuamini kocha kuliko timu.
Natarajia a stunning performance.
Mimi wakati yupo Emery akamleta Pepe nilisema ni bora angekuja Ziyech. Kwahiyo siyo siri kwamba Ziyech ni kipaji.Hahahah ati Willian anajua kupiga Freekick.
Hebu muwe mnasogea darajani mumuone mchawi Hakim Ziyech alivyo na balaa.
Bora hata tuliwaachia huyo Garasa Willian.
Uchovu. Formation anayotumia na anavyotaka mpira wa mpera mpera dakika tisini over time timu inakosa intensity. Tired minds tired legs.Hehehe kweli kabisa....paul scholes alipewa timu hakumaliza hata mwezi akachomoka.
Umeona leo leeds kalala na vinne, shida nini aisee?