Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asee Rashid Makame hatowaacha salama ..labda tuwape Mendy maana ndo anamjulia vizuri Rashid, huyu Leno mmh hapo kuna goli za wazi za Rashid
 

Watu wanaruka ruka ila hili swali ndio linapaswa kujibiwa nikitulia nitali address mkuu.
 
Dah, kweli maisha mafupi, leo mnamkumbuka Wenger baada ya WengerOut milioni moja??

Nimeamini unafiki kama ngozi tu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Dah, kweli maisha mafupi, leo mnamkumbuka Wenger baada ya WengerOut milioni moja??

Nimeamini unafiki kama ngozi tu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mzee hiyo kawaida, kuna moments in life huwa tuna miss hasa inapotokea nyakati ngumu, huwa tunakumbuka the best moments we had in past.
 
Timu zilizomfunga Arsenal mpaka sasa ni zile zilizomaliza top 5 Premier League.

What does that tell? In my opinion, Arsenal are not ready to compete for big 4 or to compete with Big 4 teams.

What then? Arsenal wanatakiwa kufanya kila kinachowezekana ili wakusanye points nyingi kutoka kwenye mid na lower table teams ili angalau kupata nafasi ya 5 au 6.

Safari bado ni ndefu msimu huu, labda anaweza kubadilika na akatushangaza.
 
What then? Arsenal wanatakiwa kufanya kila kinachowezekana ili wakusanye points nyingi kutoka kwenye mid na lower table teams ili angalau kupata nafasi ya 5 au 6.
Umeongea fact Mkuu, ni muhimu kushinda mechi zote za timu za chini na za Kati ili kuweza kuingia top 5&6 kwa ajili ya Europa league.

Vinginevyo, tuna safari ndefu ya kujenga timu
 
Mkuu,

Wewe unazungumza nini tena?? Sisi tunaongelea ubingwa hapa wewe unatuambia top 5 sijui top 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…