Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tukimpata Partey na Aouar itakuwa poa sana,Timu ina mapungufu kidogo sn, hasa eneo la kiungo cha juu.
 
Mlioangalia game nasoma huku tumecheza ovyo japo tumeshinda, nini shida kiungo?
 
Mlioangalia game nasoma huku tumecheza ovyo japo tumeshinda, nini shida kiungo?
Kukosekana kwa Kieran Tierny ,na Niles niliona mapengo yao

Saka alicheza vzr ,ila alicheza sana kama LCM , Sio Kama LWB kama ilivyotakiwa ili amsaidie sana Auba kupata space

Kolasinac alikuwa ovyo

Hivo hatukucheza vzr ukizingatia westham walihitaji Point.
 
Partey katuachia uwanja wa comment kuanzia mtu wa kwanza mpaka wa mwisho ni welcome to arsenal


Tukiongozwa na super agent wetu patorankingfire

 
Karibuni sana mje muone wanaume wanavyo sakata kabumbu safi,lakini mwisho wa mechi msiwe wazito kuja kutoa pongenzi kwa wanachelsea,coz leo Liverpool hatoboi.
Husikimbie tu,comment yako ni nayo.
 
Mmeshinda sawa lakini kwawale walioangalia mechi hiyo ukweli wanaujua sema tu mwanaume huwezi ukayakubali mapungufu yako kirahisi.

In football winner is one who scores more goal(s)than the opponent, uache kuwa unaandika ujinga
 

Jibu unalo,kolasinac alikuwa hovyo ndio maana Saka alikuwa sana nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…