Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Sport Bild report Leverkusen will hold concrete talks this week with Sead Kolasinac. The fee for the Bosnian, who is under contract with #Arsenal until 2022, will amount to around €10m.
Ukizingatia timu yetu inahamasisha kwa sasaYaani game weekend mpaka weekend,Hizi siku za Kati Kati bila game ya Arsenal najihisi kuumwa umwa hivi
@bitebo7 we acha tu mkuu,Ukizingatia timu yetu inahamasisha kwa sasa
Aouar wa nn wa umuhimu partey kwanzpartey anahitajika sana arsenal baada ya Mikel, PEA , Xhaka , leno partey anakuja kuwa mtu wa tano kwa umuhimu.
Partey akija anakuja kuleta balance ya timu kwa maana ya kumruhusu xhaka acheze namba 8 ambayo ndio namba yake halisi .
Xhaka akicheza namba nane hapo ndo tutashuhudia mvua ya magoli kutokana na diagonal pass kutoka kwa Xhaka kwenda kwa willian na Pea ambao wanaweza kufunga au kumpa Lacca akamalizia...
Ki ukweli arsenal inamwitaji partey kuliko wasanii wa bongo wanavyohitaji ma video vixen wenye misambwandaView attachment 1571593
Hata mimi naona Bora lianze dili la ParteyHivi deal gani inafaa ianze kufanywa kati ya hizi mbili?
Aouar au Partey
Kwa upande wangu ningependa sana waanze na Partey..
Nasikitika ninaposikia Aouar ndio no. 1 target ya Arsenal kwenye dirisha hili.
Tayari Arsenal wanao watu wa kutosha kwenye eneo analocheza Aouar la CAM, hata Willian pia anaongezeka hapo.
Ikianza hii deal ya Partey kwangu itakuwa poa sana!
Tuliza mihemko mkuu, kocha anajua zaidi, ngoja tuone nani kati yao atakujaAouar wa nn wa umuhimu partey kwanz
Binafsi ningependa usajili wa Aouar sababu naona kiulinzi tumeimarika siku hizi, pia kiungo wetu (Xhaka na elneny) mara nyingi wanacheza eneo la chini sana na mipira inapotea eneo la juu kiurahisi, na ukiangalia vizuri utagundua mashambulizi yanapitita pembeni mara nyingi,sasa ningependa huyu mwarabu aje kuhold eneo la kiungo wa juu pale ili tuwe hatari sehemu zote.Hivi deal gani inafaa ianze kufanywa kati ya hizi mbili?
Aouar au Partey
Kwa upande wangu ningependa sana waanze na Partey..
Nasikitika ninaposikia Aouar ndio no. 1 target ya Arsenal kwenye dirisha hili.
Tayari Arsenal wanao watu wa kutosha kwenye eneo analocheza Aouar la CAM, hata Willian pia anaongezeka hapo.
Ikianza hii deal ya Partey kwangu itakuwa poa sana!
Arsenal wachezaji kinda ambao watakuja kuwa ni hatari in future na wapiga kazi ni wawili tu pekee Saka na MartinelliPia nimesikia Lacazette anataka kuongeza mkataba wake. Naona huyu jamaa msimu huu atakuwa mtu hatari sana na atasababisha madhara kwa wapinzani ingawa naona kama watu hawajagundua hili bado.
Pia Willian, Lacazette , Auba na hata Ozil ambao ni wakongwe watawaachia urithi mzuri tu akina Martinelli, Smith-Rowe na Nelson na hata Pepe kwenye ushambuliaji. Nadhani baada ya miaka 2 Martinelli atakuwa moto wa kuotea mbali, so biashara ya kutafuta striker mpya baada ya Auba na Laca itakuwa siyo ngumu sana so huenda tusiwe na shida sana kutafuta wachezaji bora maana tuna kocha wa kuwaboresha kina Pepe, Nelson na Martinelli kama alivyowafanyia akina Sterling tunae.
Kila la kheri Gunners.