Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa sasa point 3 ndo kila kitu na clean sheet EPL haina adabu kabisa Fulham hawa hawa kuna mkubwa mwenzetu lazima atachezea kipigo tena hapo hapo kwao Trust me
Kwa one two wanazopiga naamini kuna kigogo kitakaa hapa.
 
Mi mechi sijaangalia vipindi vyote, nimeishia pale Elneny amepress kutaka kuscore ila mabeki wa Fulham walikua wengi.

Performance yake vipi?
 
Kwa sasa point 3 ndo kila kitu na clean sheet EPL haina adabu kabisa Fulham hawa hawa kuna mkubwa mwenzetu lazima atachezea kipigo tena hapo hapo kwao Trust me

Kuna mameneja wengine wanafuatilia sana mechi hii ya kwanza ya Arsenal.

Ila Arteta hubadili timu kulingana na timu pinzani.

Ni mbinu tu na kupanga timu uzuri.

Nani alitegemea Elneny angekuja kuwa "anchorman" pale kati akisaidiana na Xhaka?

Hivyo hii ni somo tosha kwa Arsenal kwamba kwa miaka 10 ilopita walikuwa wakichezesha timu isio sahihi na hawakuwa na mbinu za kisasa za kukabiliana na mechi za kisasa za karne hii.
 
Mi mechi sijaangalia vipindi vyote, nimeishia pale Elneny amepress kutaka kuscore ila mabeki wa Fulham walikua wengi.

Performance yake vipi?

Elneny kaambiwa asimame katikati na Xhaka awe analinda ile back 3 kule nyuma.

Hio kazi ameitekeleza kwa ufanisi mkubwa hadi sasa.

Elneny ana pasi za uhakika na hajapoteza pasi alizokuwa akitoa kwa wachezaji wenzake.

Mbele yao anasimama Willian na hawa ndo wachezaji wa kiungo wa Arsenal kwa mechi nyingi zijazo.

Na Willian kasajiliwa ili kumwonyesha Nicolas pepe namna ya kucheza kwa kushambulia kutokea pembeni.
 
Elneny kaambiwa asimame katikati na Xhaka awe analinda ile back 3 kule nyuma.

Hio kazi ameitekeleza kwa ufanisi mkubwa hadi sasa.

Mbele yao anasimama Willian na hawa ndo wachezaji wa kiungo wa Arsenal kwa timu za kawaida.
Naona Partey atasahaulika soon
 
Arteta master ana vingi vya kutuonyesha

Tumpe resources atuonyeshe

Tumpe muda aijenge timu..

#COYG
 
Game ilikuwa nzuri, auba amescore goli Safi, Gabi ni mkoba wa uhakika. Pale kati pako poa, tunachotaka sasa ni squad depth ili hata majeruhi au fatigi zikija tuweze kufanya rotation za uhakika.
 
Martinez anaenda villa kwa £20m

Ni ngumu kukuta backup GK anauzwa hata £5m

Biashara nzuri kabisa hii
 
Back
Top Bottom