Kwa one two wanazopiga naamini kuna kigogo kitakaa hapa.Kwa sasa point 3 ndo kila kitu na clean sheet EPL haina adabu kabisa Fulham hawa hawa kuna mkubwa mwenzetu lazima atachezea kipigo tena hapo hapo kwao Trust me
Kwa one two wanazopiga naamini kuna kigogo kitakaa hapa.Kwa sasa point 3 ndo kila kitu na clean sheet EPL haina adabu kabisa Fulham hawa hawa kuna mkubwa mwenzetu lazima atachezea kipigo tena hapo hapo kwao Trust me
Kwa sasa point 3 ndo kila kitu na clean sheet EPL haina adabu kabisa Fulham hawa hawa kuna mkubwa mwenzetu lazima atachezea kipigo tena hapo hapo kwao Trust me
Hivi anavyoscore Auba ndivyo inabidi Pepe awe na uwezo huu akiwa anatokea huko kulia.3rd goal. AubaView attachment 1567585
Mi mechi sijaangalia vipindi vyote, nimeishia pale Elneny amepress kutaka kuscore ila mabeki wa Fulham walikua wengi.
Performance yake vipi?
Ubingwa?? Hapana bado siyo leoHongereni wana asernal kwa ushindi mkubwa. Safari naona ubingwa huu hapa
Naona Partey atasahaulika soonElneny kaambiwa asimame katikati na Xhaka awe analinda ile back 3 kule nyuma.
Hio kazi ameitekeleza kwa ufanisi mkubwa hadi sasa.
Mbele yao anasimama Willian na hawa ndo wachezaji wa kiungo wa Arsenal kwa timu za kawaida.
Kama Leicester city alichukua why not us?anything can happen Ili mradi kuhakikisha timu za kati point 3 tunabeba na Giants wenzetu kama sio point 3 basi 1 inatoshaUbingwa?? Hapana bado siyo leo
Naona Partey atasahaulika soon
Naona Partey atasahaulika soon
Labda kama humsikilizi vzr ArtetaNaona Partey atasahaulika soon