Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Jan 19, 2011 #8,721 Sagnaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
RayB JF-Expert Member Joined Nov 27, 2009 Posts 2,751 Reaction score 201 Jan 19, 2011 #8,722 Arsene Wenger said: jamaa kawa mvivu sana. Click to expand... halafu mchoyo saaaana wa pasi
Questt JF-Expert Member Joined Oct 8, 2009 Posts 3,010 Reaction score 422 Jan 19, 2011 #8,723 Arsene Wenger said: Sagnaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Click to expand... So kama mwanzo angejaribu angefunga mwenyewe.......................Very sweet GOAL....
Arsene Wenger said: Sagnaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Click to expand... So kama mwanzo angejaribu angefunga mwenyewe.......................Very sweet GOAL....
Mtazamaji JF-Expert Member Joined Feb 29, 2008 Posts 5,937 Reaction score 1,444 Jan 19, 2011 #8,724 Safiiiiiiii
Genekai R I P Joined Feb 9, 2010 Posts 12,514 Reaction score 5,003 Jan 19, 2011 #8,725 Wametubak amoja!
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Jan 19, 2011 #8,726 jamaa wametujibu kwa bonge la goli.
RayB JF-Expert Member Joined Nov 27, 2009 Posts 2,751 Reaction score 201 Jan 19, 2011 #8,727 Wamelipiza what a goal from them hii defence hakuna kitu hapa
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Jan 19, 2011 #8,728 Tunahitaji kuwapiga kingine kabla half time washapata nguvu tena.
Questt JF-Expert Member Joined Oct 8, 2009 Posts 3,010 Reaction score 422 Jan 19, 2011 #8,729 wanaweza RUDI hawa.....................I hate THIS!!!!!!!!! Why cant we keep a CLEANSHEET to such underdogs?????????????????????????
wanaweza RUDI hawa.....................I hate THIS!!!!!!!!! Why cant we keep a CLEANSHEET to such underdogs?????????????????????????
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Jan 19, 2011 #8,730 RayB said: Wamelipiza what a goal from them hii defence hakuna kitu hapa Click to expand... Mkuu pale huwezi kuilamu beki manake wote walikuwa golini kujaribu kuokoa shambulizi la mwanzo shuti kama lile noma.
RayB said: Wamelipiza what a goal from them hii defence hakuna kitu hapa Click to expand... Mkuu pale huwezi kuilamu beki manake wote walikuwa golini kujaribu kuokoa shambulizi la mwanzo shuti kama lile noma.
Mtazamaji JF-Expert Member Joined Feb 29, 2008 Posts 5,937 Reaction score 1,444 Jan 19, 2011 #8,731 Dah wamepuguza deficit tumerudi pale pale . Ila goli kali kweli
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Jan 19, 2011 #8,732 Questt said: wanaweza RUDI hawa.....................I hate THIS!!!!!!!!! Why cant we keep a CLEANSHEET to such underdogs????????????????????????? Click to expand... Mashuti ya mbali yanasaidia sometimes mkuu,sisi tu ndio hatupendi kujaribu lakini hakuna wakumlaumu kwa hili goli.
Questt said: wanaweza RUDI hawa.....................I hate THIS!!!!!!!!! Why cant we keep a CLEANSHEET to such underdogs????????????????????????? Click to expand... Mashuti ya mbali yanasaidia sometimes mkuu,sisi tu ndio hatupendi kujaribu lakini hakuna wakumlaumu kwa hili goli.
RayB JF-Expert Member Joined Nov 27, 2009 Posts 2,751 Reaction score 201 Jan 19, 2011 #8,733 Arsene Wenger said: Mkuu pale huwezi kuilamu beki manake wote walikuwa golini kujaribu kuokoa shambulizi la mwanzo shuti kama lile noma. Click to expand... Ilikuwa kali ile nakubali dawa ni kuongeaza jingine tu hapa
Arsene Wenger said: Mkuu pale huwezi kuilamu beki manake wote walikuwa golini kujaribu kuokoa shambulizi la mwanzo shuti kama lile noma. Click to expand... Ilikuwa kali ile nakubali dawa ni kuongeaza jingine tu hapa
RayB JF-Expert Member Joined Nov 27, 2009 Posts 2,751 Reaction score 201 Jan 19, 2011 #8,734 Arsena wanafanya nini tena hapa?
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Jan 19, 2011 #8,735 RayB said: Ilikuwa kali ile nakubali dawa ni kuongeaza jingine tu hapa Click to expand... Yaap,fighters hawa watapigana mpaka dakika ya mwisho kwahio inabidi tujaribu kuwapunguza kasi.
RayB said: Ilikuwa kali ile nakubali dawa ni kuongeaza jingine tu hapa Click to expand... Yaap,fighters hawa watapigana mpaka dakika ya mwisho kwahio inabidi tujaribu kuwapunguza kasi.
Questt JF-Expert Member Joined Oct 8, 2009 Posts 3,010 Reaction score 422 Jan 19, 2011 #8,736 Du!!! Tuache Ushabiki wadau...Goli la LEEDS kali kinyama.....Mimi binafsi nimelipenda na ninadiriki kusema lile shoot ni three times lile la SAGNA.....it was like a flash....Hata Kipa hakuliona zaidi ya kupredict direction......NI NOUMA............
Du!!! Tuache Ushabiki wadau...Goli la LEEDS kali kinyama.....Mimi binafsi nimelipenda na ninadiriki kusema lile shoot ni three times lile la SAGNA.....it was like a flash....Hata Kipa hakuliona zaidi ya kupredict direction......NI NOUMA............
Genekai R I P Joined Feb 9, 2010 Posts 12,514 Reaction score 5,003 Jan 20, 2011 #8,737 Arsene Wenger said: jamaa wametujibu kwa bonge la goli. Click to expand... Hili usingebishi manake jamaa kanyooka dunia nzima!
Arsene Wenger said: jamaa wametujibu kwa bonge la goli. Click to expand... Hili usingebishi manake jamaa kanyooka dunia nzima!
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Jan 20, 2011 #8,738 Haya sasa kipindi cha pili.Wenger angemtoa bendtner na ku,leta walcott naona kule Winger wanatupa nafasi ya kutosha walcott anaweza kuwa mwiba kwao.
Haya sasa kipindi cha pili.Wenger angemtoa bendtner na ku,leta walcott naona kule Winger wanatupa nafasi ya kutosha walcott anaweza kuwa mwiba kwao.
Genekai R I P Joined Feb 9, 2010 Posts 12,514 Reaction score 5,003 Jan 20, 2011 #8,739 kawakosa tena sagna!
Genekai R I P Joined Feb 9, 2010 Posts 12,514 Reaction score 5,003 Jan 20, 2011 #8,740 Arsene Wenger said: Haya sasa kipindi cha pili.Wenger angemtoa bendtner na ku,leta walcott naona kule Winger wanatupa nafasi ya kutosha walcott anaweza kuwa mwiba kwao. Click to expand... Yule mzee huwa ni very slow kufanya maamuzi utashangaa anamuingiza bado tano!
Arsene Wenger said: Haya sasa kipindi cha pili.Wenger angemtoa bendtner na ku,leta walcott naona kule Winger wanatupa nafasi ya kutosha walcott anaweza kuwa mwiba kwao. Click to expand... Yule mzee huwa ni very slow kufanya maamuzi utashangaa anamuingiza bado tano!