Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kutoka @TheAthleticUK.

- Mkataba wa Willian ulitiwa saini katika nyumba ya Kia Jorabchian na sio makao makuu ya Arsenal

- Raul ndiye pekee aliyekuwa anaongoza mazungumzo ya mkataba mpya wa Aubameyang ... na pia alikuwa anaongoza mazungumzo na Gabriel Magalhaes na Thomas Partey ...

Lakini inatarajiwa kwamba Edu atayamalizia vizuri na kwa mafanikio.


Auba contract

Gabriel Magalhaes 90%

Partey loading.......
 
Kutoka @TheAthleticUK.

- Mkataba wa Willian ulitiwa saini katika nyumba ya Kia Jorabchian na sio makao makuu ya Arsenal

- Raul ndiye pekee aliyekuwa anaongoza mazungumzo ya mkataba mpya wa Aubameyang ... na pia alikuwa anaongoza mazungumzo na Gabriel Magalhaes na Thomas Partey ...

Lakini inatarajiwa kwamba Edu atayamalizia vizuri na kwa mafanikio.


Auba contract

Gabriel Magalhaes 90%

Partey loading.......

Partey akisaini itakuwa big statement.
 
Usajili Updates: Aubameyang kusaini na mkoba Gabriel Magalhaes pia kusaini.

Mshambuliaji wa Arsenal Pierre-Emerick Aubameyang anatarajiwa kusaini mkataba uloboreshwa wa miaka 3 wiki hii ambapo atalipwa kiasi cha pauni 250,000 kwa wiki.

Pia habari kutoka Ufaransa kwenye klabu ya Lille zinasema kuwa Lille wamekubali offer ya Arsenal ya Euro milioni 30 za Arsenal kumsajili beki wa kati kutoka Brazil Gabriel dos Santos Magalhaes.

Man Utd, Everton na Napoli wote wamekuwa wakimfuatilia Gabby lakini ushawishi wa Edu unasaidia sana usajili wanaofanya Arsenal.

Everton waliweka Euro milioni 20 ambazo Lille wamekataa halikadhalika Man Utd nao waliweka Euro Milioni 25.

Huu ndo wakati wa Arsenal kufanya usajili wa maana na wa kueleweka.

Arsenal ikitangaza usajili wa Aubameyang na Gabby mwenye umri wa miaka 22 basi ntaongeza idadi ya jezi nilizo nazo pamoja na jezi ya mazoezi.

Yajayo yanafurahisha.

Wapi wamachama mwenzetu Balantanda??

Rudi nyumbani mkuu.

COYGs
Huyo Gabriel nimetoka kumcheki YouTube, ameniridhisha kwa kweli.. Yani anapenda sana kukaba na ni mzuri wa kuanzisha mashambulizi.

Pia kutokana na kutumia mguu wa kushoto inampa nafasi kocha ya kumpanga hata LB endapo kutatokea majeraha kwenye kikosi katika eneo la LB. Na anakamua kweli! Tackling kwake ni jambo la kawaida tu.
 
Sanllehi didn't want to leave but departure was brewing among hierarchy
Scouting & analytics depts felt sidelined
Wouldn't allow board member to meet Arteta without him
'Bad optics' of Willian signing at agent's house during pandemic

@gunnerblog & more
 
Huyo Gabriel nimetoka kumcheki YouTube, ameniridhisha kwa kweli.. Yani anapenda sana kukaba na ni mzuri wa kuanzisha mashambulizi.

Pia kutokana na kutumia mguu wa kushoto inampa nafasi kocha ya kumpanga hata LB endapo kutatokea majeraha kwenye kikosi katika eneo la LB. Na anakamua kweli! Tackling kwake ni jambo la kawaida tu.

Na Arteta amemtaka Gabby kwa sababu anatumia pia mguu wa kushoto.
 
Kroenke Amewapa nguvu kubwa Arteta na Edu


The Athletic Wameeleza kwa kirefu

The article talks in general about Arteta and Edo’s upcoming partnership, and about the trust and support of the owners, who allowed him more powers to recruit players.
 
Na Arteta amemtaka Gabby kwa sababu anatumia pia mguu wa kushoto.
Kwenye modern football ambapo hutumia inverted wingers (winger wa kushoto anayetumia mguu wa kulia na wa kulia anayetumia mguu wa kushoto) inabidi uwe na central defenders ambao mmoja ni left footed na mwingine ni right footed ili waweze kunavigate wakati wa kukaba.

Utakumbuka mechi ya semi final FA against City Arteta alimpeleka Niles (ambaye ni right footed) kucheza full back left ili kumkabili Mahrez aliyekuwa akisumbua akitokea wing ya kulia na baada ya pale alitulizwa. Pia alimtaka Pablo Mari kwa sababu hizo hizo (left footed CB).
 
Kwenye modern football ambapo hutumia inverted wingers (winger wa kushoto anayetumia mguu wa kulia na wa kulia anayetumia mguu wa kushoto) inabidi uwe na central defenders ambao mmoja ni left footed na mwingine ni right footed ili waweze kunavigate wakati wa kukaba.

Utakumbuka mechi ya semi final FA against City Arteta alimpeleka Niles (ambaye ni right footed) kucheza full back left ili kumkabili Mahrez aliyekuwa akisumbua akitokea wing ya kulia na baada ya pale alitulizwa. Pia alimtaka Pablo Mari kwa sababu hizo hizo (left footed CB).
Upo sahihi kabisa


Ndio maana Arteta ameomba awe na LCB wawili
 
LEO NI MWENDO WA BREAKING NEWS TU


According to Liverpool ECHO

Everton are ready to end their pursuit of Lille defender Gabriel Magalhaes. The Blues are refusing to pay above their valuation for the 22-year-old & therefore match the offers lodged by Napoli & #Arsenal.

#Arsenal are seen as favourites to sign Gabriel with Napoli in need of selling Kalidou Koulibaly - potentially to Manchester City - before pressing ahead with the deal.

Everton ready to end Gabriel pursuit as transfer focus switches
 
Image: Gabriel Magalhães’ father, Marcelo, liking a post on Instagram suggesting Arsenal have reached an agreement with the player & are close to an agreement with Lille.
IMG_20200817_141236.jpg
 
Usajili Updates: Aubameyang kusaini na mkoba Gabriel Magalhaes pia kusaini.

Mshambuliaji wa Arsenal Pierre-Emerick Aubameyang anatarajiwa kusaini mkataba uloboreshwa wa miaka 3 wiki hii ambapo atalipwa kiasi cha pauni 250,000 kwa wiki.

Pia habari kutoka Ufaransa kwenye klabu ya Lille zinasema kuwa Lille wamekubali offer ya Arsenal ya Euro milioni 30 za Arsenal kumsajili beki wa kati kutoka Brazil Gabriel dos Santos Magalhaes.

Man Utd, Everton na Napoli wote wamekuwa wakimfuatilia Gabby lakini ushawishi wa Edu unasaidia sana usajili wanaofanya Arsenal.

Everton waliweka Euro milioni 20 ambazo Lille wamekataa halikadhalika Man Utd nao waliweka Euro Milioni 25.

Huu ndo wakati wa Arsenal kufanya usajili wa maana na wa kueleweka.

Arsenal ikitangaza usajili wa Aubameyang na Gabby mwenye umri wa miaka 22 basi ntaongeza idadi ya jezi nilizo nazo pamoja na jezi ya mazoezi.

Yajayo yanafurahisha.

Wapi wamachama mwenzetu Balantanda??

Rudi nyumbani mkuu.

COYGs
Mwambie arudi nyumbani kumenoga!!
 
Back
Top Bottom